TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 15,202 Reaction score 25,378 May 13, 2019 #2 Sipati picha huko Musoma, Bukoba, Mwanza, Ukerewe kuanzia usiku huu kwa ruksa hii jinsi wavuvi wanavyopagawa.
Sipati picha huko Musoma, Bukoba, Mwanza, Ukerewe kuanzia usiku huu kwa ruksa hii jinsi wavuvi wanavyopagawa.
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 34,637 Reaction score 37,959 May 13, 2019 #3 kiwenini said: View attachment 1096192 Click to expand... Kwa hiyo kabla ya kuvua unawapima kwanza? Au unawavua unawapima then kama wapo chini ya cm 85 unawarudisha majini? Yupo wa kuwarudisha?
kiwenini said: View attachment 1096192 Click to expand... Kwa hiyo kabla ya kuvua unawapima kwanza? Au unawavua unawapima then kama wapo chini ya cm 85 unawarudisha majini? Yupo wa kuwarudisha?
M MWANAKA JF-Expert Member Joined Oct 4, 2013 Posts 4,894 Reaction score 4,446 May 13, 2019 #4 Wavue tupate chakula mwezi huu vyakula adimu Asante serikali kwa kutujali tuliofunga
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,709 Reaction score 23,117 May 13, 2019 #5 Hii serikali ya ajabu sana sasa zile operation ambazo zilipelekea kuchomwa kwa nyavu na makokolo za wavuvi ziliruhusiwa na nani.
Hii serikali ya ajabu sana sasa zile operation ambazo zilipelekea kuchomwa kwa nyavu na makokolo za wavuvi ziliruhusiwa na nani.