Angina
Senior Member
- May 13, 2018
- 142
- 138
Kwa kipindi cha karibuni sjajua huenda in dar es salaam lkn nahisi itakuwa Tanzania nzma swala la uvutaji sigara lmekua too much .Alaf mbaya wavutaji hata aibu hawana unaweza kuta yupo kwenye mikusanyiko ya watu anavuta sigara tu bila hata kujari
Na kwa kiwango kikubwa vjana ndo wanaongoza kuvuta aisee unakuta kavulana kana miaka 13 14 lkn nako kanavuta yaana imekua fashion sasa.
Kiafya uvutaji wa sigara ni moja ya sababu kubwa ya kupata cancer ya mapafu na uvutaji wa sigara unaweza kuwa direct au indirect.nksema direct namaanisha anavuta lkn nksema indirect ni yule mtu ambae yupo jran na mvutaj wa sigara yaan yy anavuta ule moshi wa sigara wakat wa kupumua ijapokuwa havuti sigara.
Naona ni wakat sahihi wa serikali kuanzia vituo maalum pembezoni mwa ma barabara,kwenye mikusanyiko ya watu mfano sokoni ili wavutaji wanapovuta sigara moshi usiwaathir ambao hawavuti sigara.
Na kwa kiwango kikubwa vjana ndo wanaongoza kuvuta aisee unakuta kavulana kana miaka 13 14 lkn nako kanavuta yaana imekua fashion sasa.
Kiafya uvutaji wa sigara ni moja ya sababu kubwa ya kupata cancer ya mapafu na uvutaji wa sigara unaweza kuwa direct au indirect.nksema direct namaanisha anavuta lkn nksema indirect ni yule mtu ambae yupo jran na mvutaj wa sigara yaan yy anavuta ule moshi wa sigara wakat wa kupumua ijapokuwa havuti sigara.
Naona ni wakat sahihi wa serikali kuanzia vituo maalum pembezoni mwa ma barabara,kwenye mikusanyiko ya watu mfano sokoni ili wavutaji wanapovuta sigara moshi usiwaathir ambao hawavuti sigara.