Wakuu hapa Tanzania kwa sasa imezoeleka kabisa kwamba issue ya uvnjwaji wa katiba ya jamhuri ya muungano ni swala la kawaida na wananchi hawana uwezo wa kuamua na kufanya lolote mladi tu kulinda katiba
Kama watanzania wameshindwa kuchukua hatua dhidi ya uvunjwaji wa katiba unaofanywa na serikali hii dhalimu hawataweza kuja kuchukua hatua dhidi ya mamlaka ya rais ikikubali msimu mmoja usogezwe mpaka miaka 7
watanzania wamelala sana, katiba ni yenu wananchi aamkeni
Kama watanzania wameshindwa kuchukua hatua dhidi ya uvunjwaji wa katiba unaofanywa na serikali hii dhalimu hawataweza kuja kuchukua hatua dhidi ya mamlaka ya rais ikikubali msimu mmoja usogezwe mpaka miaka 7
watanzania wamelala sana, katiba ni yenu wananchi aamkeni