Uvumilivu kwenye ndoa

Unaoenda kuwaomba ushauri, ndio walikushauri uolewe/kuoa? Use your common sense.


Washauri wazuri wa ndoa wenyewe hawana ndoa! Km yule mchungaji wetu pale mikocheni!
 
Sipendi kusemwa semwa, sipendi kulalamikiwa, sipendi kupigwa, sipendi kuonewa jaman sipendi vingi........ ntavumilia vitu vingine vidogovidogo lakin vingine big NO
 
kwa hiyo as long as uko kwenye ndoa hata kuwe na tatizo linalohatarisha maisha yako lazima uvumilie?

Tafuta suluhisho ukiwa ndani ya ndoa, na sio nje ya ndoa. Imean kama jambo linahatarisha maisha yako, tafuta namna ya kukabiliana na tatizo hilo bila kuathiri ndoa yako. Thats what am talking about
 
Tafuta suluhisho ukiwa ndani ya ndoa, na sio nje ya ndoa. Imean kama jambo linahatarisha maisha yako, tafuta namna ya kukabiliana na tatizo hilo bila kuathiri ndoa yako. Thats what am talking about

nimekuelewa vizuri now nilielewa ndivyo sivyo
 
Sipendi kusemwa semwa, sipendi kulalamikiwa, sipendi kupigwa, sipendi kuonewa jaman sipendi vingi........ ntavumilia vitu vingine vidogovidogo lakin vingine big NO

mmmhhhhhhh?inabidi uvumilie tu jamani,hapo ndio anaonyesha upendo wake wa kweli akikupiga lol
 
It depends on alot of things. Aina ya kosa na mkosaji.Ni kosa kubwa?Anaekosa ana react vipi? Kuna guilt? Anajirekebisha?
 
You must became down bse ndoa ni kuvumilia wakati wa shida na raha ktk ulimwengu wa michezo ni kusikilizana.
 
Binafsi siamini Eti kwa sababu watu wamefunga ndoa ndiyo uvumilie hadi mtu mauti yamfike.Ni uelewa potofu.Naamuni mtu anaweza kuoa au kuolewa na Kama inafika wakati Kuna missunderstanding kati ya wanandoa,mpaka kuumizana,na inafikia wakati mtu anawaza na kuhisi maisha si kitu,you just leave and find the other one,NDOA SIO KUVUMILIA TO THE EXTENTYA KUHATARISHWA MAISHA.
 
mi huwa nachekaga baadhi ya wanaume kabla hela haijakokea atakusihi vumilia tu mke wangu utavaa kanga moja wee mwishoye utajua jinsi ambavyo ulivyokuwa unamuandalia maisha mazur hawara yake
 
mfano?usinibanie jamani niambie na mi nijifunze

Ndoa ina mafundisho yake kulingana na nyakati tofauti tofauti inazokuwa inapitalakini ukiacha mafundisho hayo huwa wanandoa waitwa kwa pamoja na kupewa nasaha zikiambatana na maombi...
 
Reactions: lin
Ukihitaji mawazo unayoshauriwa humu ukubali pia na ushauri wa mabachala na vibaka ambao hawajaoa..mtu atakushauri nn wkti yeye anajua kwamba hajawahi kumilik mke au mume ijapo kwa lisaa limoja??kwli jmf kuna wahuni.
 
Reactions: lin
Ushauri wangu kwako kaoe mkuria baba ssi wakuria watoto wetu wa kikuria huwa tunawapa mafunzo ya kijeshi bila kuwapeleka jkt ukibahatka kumpata mmoja atakufundisha ukakamavu na uvumilivu kwli2.nawasilisha wakuu.
 

Kila mtu ana namna yake ya uvumilivu au ya kupambana na changamoto mbalimbali za maisha ikiwemo za mahusiano au ndoa..

Hivyo sitegemei kuwepo na formula ya ukomo wa huo uvumilivu.
 
Reactions: lin

umeongea vzr mno ...zmn wazaz wetu walvumiliana haswaa km mwenzieana mchepuko bt lyf yetu hii uwez vumilia hlo koz magonjwa meng cku hz co km enz za wazee we2
 
Reactions: lin
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…