Uvumilivi unanishinda

Uvumilivi unanishinda

Napitaaa
Screenshot_2018-04-13-18-19-57.jpg
 
Zamani maovu chanzo ni influences za marafiki lakini kwasasa+ni mitandao ya kijamii
 
Habari za sahizi
Mimi ni binti nina miaka 22 sasa
Nimefanikiwa kujitunza mpaka sasa sijawahi kufanya mapenzi bad bikra na ninatamano sana nikae hiyo mpaka nitakapoolewa lakini wa kunioa sijampata
Naona kama naelekea kushindwa naomba mniweke kwenye dua zenu niendelee kuwa na subira na kujituliza ili ndoto yangu itimie
Mnishauri nifanye nini nisije kumkosea Mungu na kuingia majaribuni
Nafasi ya pili uko tayari???
Jibu haraka.
 
Habari za sahizi
Mimi ni binti nina miaka 22 sasa
Nimefanikiwa kujitunza mpaka sasa sijawahi kufanya mapenzi bad bikra na ninatamano sana nikae hiyo mpaka nitakapoolewa lakini wa kunioa sijampata
Naona kama naelekea kushindwa naomba mniweke kwenye dua zenu niendelee kuwa na subira na kujituliza ili ndoto yangu itimie
Mnishauri nifanye nini nisije kumkosea Mungu na kuingia majaribuni
Wewe ni ndugu yake Bambo? angalia hapo kwenye Bold
 
Habari za sahizi
Mimi ni binti nina miaka 22 sasa
Nimefanikiwa kujitunza mpaka sasa sijawahi kufanya mapenzi bad bikra na ninatamano sana nikae hiyo mpaka nitakapoolewa lakini wa kunioa sijampata
Naona kama naelekea kushindwa naomba mniweke kwenye dua zenu niendelee kuwa na subira na kujituliza ili ndoto yangu itimie
Mnishauri nifanye nini nisije kumkosea Mungu na kuingia majaribuni
Njoo PM mara moja binti...kuna kitabu nataka kukupa
 
Kama unayoongea ni kweli basi mungu akupe hitaji la moyo wako, ila kama ni uongo laana ikujilie mbele, nyuma, juu, chini, kulia ,kushoto. Ila wasiwasi wangu utakuja kuangukia kwa mwanaume malaya asiyejali, na possibly ndoa yako ya kwanza itavinjika, na usipoangalia hata ya pili itavunjika. Maana usipofanya vurugu utotoni na uschanani basi utazifanya ukizeeka. So nakushauri shusha tu pichu mama watu wale tunda la roho
 
Habari za sahizi
Mimi ni binti nina miaka 22 sasa
Nimefanikiwa kujitunza mpaka sasa sijawahi kufanya mapenzi bad bikra na ninatamano sana nikae hiyo mpaka nitakapoolewa lakini wa kunioa sijampata
Naona kama naelekea kushindwa naomba mniweke kwenye dua zenu niendelee kuwa na subira na kujituliza ili ndoto yangu itimie
Mnishauri nifanye nini nisije kumkosea Mungu na kuingia majaribuni
Jimbo limepata mbunge
 
Kuwa busy n mambo yako, fanya mazoezi, punguz vyakula vinavyoupelekea mwili mshawasha. Endelea kujitunza hadi utakapompata mtu sahihi(mumeo).

Kubwa zaidi kuwa karibu mnooo na Mungu wako.
 
Sio wa kuolewa nae hujampata, tatizo masharti yako ndiyo yanakuchelewesha kuolewa.

We eti hutaki kugawa papuchi mpaka uolewe nani atakubali?? Halafu uje kuniuzia mbuzi kwenye gunia??

Kama una jinsia mbili je? Nitajuaje?? Punguza masharti hayo masharti ni vikwazo kwako kupata mchumba wa kuolewa nae.

Vinginevyo utabaki na bikra yako mpaka over 40years.

Ila nakuombea mkuu endelea kukaza na MUNGU akusaidize uvishinde vishawashi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom