alhumaira 196
Member
- Apr 8, 2018
- 16
- 22
- Thread starter
- #21
AzanteMake yourself busy as much as possible.
AzanteMake yourself busy as much as possible.
NashukiruMtumikie MUNGU kwa karibu ni njia bora ya kuepukana na vishawishi na majaribu, pia epuka makundi ya wasichana wenzako au wanawake wasiona tabia njema za kumpendeza MUNGU.
Allah akulindeAisee wewe jitunze tuu hakuna namna dunia imeharibika Dada mapenzi yapo sana
Kikubwa Nikuomba m/mungu akupe subra zaidiAisee wewe jitunze tuu hakuna namna dunia imeharibika Dada mapenzi yapo sana
Namaanisha jitunze acha kuwa na mashaka.Ukiona una kitu lakini unashindwa kukitunza basi dawa yake ni kukitoa
Yanini upate tabu kukaa na kitu usichojua thamani yake!
Siku ukijua thamani yake tayari hakipo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Huyo uliyemquote ndie muhusika?Allah akulinde
Kikubwa Nikuomba m/mungu akupe subra zaidi
Kwa majibu haya.... Mmmmmhhhhh!!!!????? HapanaYa mbele na nyuma na juu na chini na ya kulia na ya kushotk
Wanaumeee leooo wanakufa na bikraPM huko sipati picha