Uvumilivi unanishinda

Uvumilivi unanishinda

alhumaira 196

Member
Joined
Apr 8, 2018
Posts
16
Reaction score
22
Habari za sahizi
Mimi ni binti nina miaka 22 sasa
Nimefanikiwa kujitunza mpaka sasa sijawahi kufanya mapenzi bad bikra na ninatamano sana nikae hiyo mpaka nitakapoolewa lakini wa kunioa sijampata
Naona kama naelekea kushindwa naomba mniweke kwenye dua zenu niendelee kuwa na subira na kujituliza ili ndoto yangu itimie
Mnishauri nifanye nini nisije kumkosea Mungu na kuingia majaribuni
 
Habari za sahizi
Mimi ni binti nina miaka 22 sasa
Nimefanikiwa kujitunza mpaka sasa sijawahi kufanya mapenzi bad bikra na ninatamano sana nikae hiyo mpaka nitakapoolewa lakini wa kunioa sijampata
Naona kama naelekea kushindwa naomba mniweke kwenye dua zenu niendelee kuwa na subira na kujituliza ili ndoto yangu itimie
Mnishauri nifanye nini nisije kumkosea Mungu na kuingia majaribuni
Aisee wewe jitunze tuu hakuna namna dunia imeharibika Dada mapenzi yapo sana
 
Una mvuto?!maana sio unalalama tu wkt huna mvuto(chura)!Nakutani we!!endelea kujitunza dada mpk mwisho!
 
Kama upo jamii forum huwez kua bikra,maana huku co insta..
 
Hongera and keep it up ,nilichokiamin nikwamba upo bikra kweli UNLESS umeandika haupo serious nakwamba unataka kuwaenjoy vijana.

NB.....Ole wako aje mtu alafu akukute sio bikra Walahi kabisa nitakurepot kwa Mng'oa kucha.
 
Habari za sahizi
Mimi ni binti nina miaka 22 sasa
Nimefanikiwa kujitunza mpaka sasa sijawahi kufanya mapenzi bad bikra na ninatamano sana nikae hiyo mpaka nitakapoolewa lakini wa kunioa sijampata
Naona kama naelekea kushindwa naomba mniweke kwenye dua zenu niendelee kuwa na subira na kujituliza ili ndoto yangu itimie
Mnishauri nifanye nini nisije kumkosea Mungu na kuingia majaribuni
Naomba nikusaidie kuitunza hiyo bikra, tena tuta funga kwa pamoja tukiwa chmbani mimi na wewe huku tukifanya Duah.... tehteehhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom