mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,581
- 9,823
- Thread starter
- #41
Wasalaam,
Ndugu zangu msione ukimya mwingi umetamalaki kuhusiana na "Theory of Mbenge Effect". Ni shughuli pevu na yenye kuweza kuleta dhana mpya kabisa katika ulimwengu wa sasa wa sayansi, na hata kuweza kubadilisha mtazano mzima pamoja na kanuni nyingi za msingi zilizopo nyuma ya nishati ya mwanga.
Nasikitika sana kusema kuwa katika kundi letu lililokuwa lenye waatalamu wa kisayansi wapatao 12 kwa pamoja tuliuanza mchakato huu, mmoja wetu amegeuka kuwa Yuda Eskaroti na kuleta madhara kwa kiwango cha kadiri ya 15% na kuweza kuharibu "original plan & deadlines"
Kumbuka namba 12 ina maana kubwa sana katika ulimwengu wa kiroho ili kuweza kukamilisha jambo fulani. Ni lazima tufanye replacement ili timu iwe kamilifu kupitia namba hii.
"Damage control" imekwisha kufanyika, na kanuni mpya ya kimahesabu ipo tayari na nitakuja kuweka dokezo lake hadharani hivi karibuni. Mimi na timu yangu tunalazimika kufanya mabadiliko hayo ili tuzidi kuhifadhi na kuweka usiri mkubwa katika kazi yetu ya msingi
Lakini kabla hata hatujafanikiwa kuiweka kazi yetu katika "live state" ya majaribio, yaani tukiwa bado tupo katika "demo" tunaona kuna kila dalili za uwepo wa tishio la shambulizi la kimtandao kutoka kwa mahasimu wetu, .Ahadi ni deni, kila kitu kitakuwa katika mikono salama, mpaka dhamira yetu itimie.
Ndugu zangu msione ukimya mwingi umetamalaki kuhusiana na "Theory of Mbenge Effect". Ni shughuli pevu na yenye kuweza kuleta dhana mpya kabisa katika ulimwengu wa sasa wa sayansi, na hata kuweza kubadilisha mtazano mzima pamoja na kanuni nyingi za msingi zilizopo nyuma ya nishati ya mwanga.
Nasikitika sana kusema kuwa katika kundi letu lililokuwa lenye waatalamu wa kisayansi wapatao 12 kwa pamoja tuliuanza mchakato huu, mmoja wetu amegeuka kuwa Yuda Eskaroti na kuleta madhara kwa kiwango cha kadiri ya 15% na kuweza kuharibu "original plan & deadlines"
Kumbuka namba 12 ina maana kubwa sana katika ulimwengu wa kiroho ili kuweza kukamilisha jambo fulani. Ni lazima tufanye replacement ili timu iwe kamilifu kupitia namba hii.
"Damage control" imekwisha kufanyika, na kanuni mpya ya kimahesabu ipo tayari na nitakuja kuweka dokezo lake hadharani hivi karibuni. Mimi na timu yangu tunalazimika kufanya mabadiliko hayo ili tuzidi kuhifadhi na kuweka usiri mkubwa katika kazi yetu ya msingi
Lakini kabla hata hatujafanikiwa kuiweka kazi yetu katika "live state" ya majaribio, yaani tukiwa bado tupo katika "demo" tunaona kuna kila dalili za uwepo wa tishio la shambulizi la kimtandao kutoka kwa mahasimu wetu, .Ahadi ni deni, kila kitu kitakuwa katika mikono salama, mpaka dhamira yetu itimie.