Bepari
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 904
- 329
Wakuu nina tatizo. Kuna uvimbe umejitokeza chini ya shavu la kulia.
Nilienda hospitali wiki mbili zilizopita wakaniambia ni aleji na kunipa ethromaizin kutumia kwa wiki mbili, niliambiwa lengo ni kuuivisha upasuke kama jipu.
Dozi nimemaliza na hakuna dalili ya kupasuka japo uvimbe umepungua, tatizo jipya ni kwamba kwa sasa ni kama uvimbe una ganzi yaani nikiugusa siwezi kuhisi.
Mtu yeyote mwenye aidia ya tatizo langu anisaidie tafadhali...
Nilienda hospitali wiki mbili zilizopita wakaniambia ni aleji na kunipa ethromaizin kutumia kwa wiki mbili, niliambiwa lengo ni kuuivisha upasuke kama jipu.
Dozi nimemaliza na hakuna dalili ya kupasuka japo uvimbe umepungua, tatizo jipya ni kwamba kwa sasa ni kama uvimbe una ganzi yaani nikiugusa siwezi kuhisi.
Mtu yeyote mwenye aidia ya tatizo langu anisaidie tafadhali...