Tatizo hakuna anae waamini na nyie , baadhinya viongozi wenu wanatoa kauli tata na za hivyo, uvccm sasahiv mnaonekana nothing but chawa, hampiki viongozi tena. MjitafakariVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.