UVCCM ni mzigo na hasara kwa taifa

UVCCM ni mzigo na hasara kwa taifa

UVCCM hawawezi kuwa mzigo kuwakuta bavichaa, kupelekwa kufuata upepo kulazimishwa kuwasafisha watu wachafu, na kupinga kila kitu wakati vingine wanavikubali.
 
Duniani kote vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kufikiri sahihi ndio wamekuwa msaada mkubwa sana kwa mataifa yao.

Marakadhaa vijana wamekuwa mstari wa mbele kupinga aina yeyote ya ukandamizaji na uvunjwaji wa katiba za nchi zao jambo ambalo lisipokemewa linaweza kupelekea uvunjifu wa amani kwa nchi zao.

Hivi karibu kumekuwa na tabia mbaya isiyoweza kuvumilika na mtu yeyote yule mpenda haki na usawa katika taifa lake, miezi michache iliyopita Serikali ya Ccm chini ya Raisi Magufuli imepiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa, lakini katazo hilo linaonekana limelenga zaidi vyama vya upinzani na Mabara yake,ile hali Ccm na mabara yao ya vijana,wazee na wanawake wanaendelea kufanya mikutano ya hadhara na vikao vya ndani.

Ni kukosa haya kwa kiongozi kama Shaka A Shaka Kaimu Katibu wa UVCCM taifa,kukana kuwa hajawahi kufanya mikutano ya hadhara, ile hali amefanya hivyo Katavi,Tabora,Bagamoyo na kwingineko .

Hoja ya Shaka kuwa vyama vya upinzani na Mabaraza yake wanashindwa kufanya vikao vya ndani kwa kuwa hawana ofisi ni hoja dhaifu na niyamtu alievimbiwa madaraka, anatakiwa kujua kikao cha ndani sio lazima kifanyike katika ofisi ya chama husika na kama tafsiri yake ya vikao vya ndani inamtuma ni katika ofisi tu , wanaojua maana ya vikao vya ndani wanapata picha pana ya uwezo wa akili yake ilivyo ndogo na nafasi aliyonayo kisiasa.

Katika mazungumzo yake shaka amegusia mikutano ya hadhara kuzuiliwa kwamba anaunga Mkono na akatolea mfano wa nchi kama marekani, hii pia ni dalili nyingine ya uvimbe kwenye ubongo alionao Shaka, maana amesahau kabisa kuwa Katiba ya nchi yetu na sheria ya vyama vya siasa inaruhusu vyama vya siasa kufanya siasa wakati wote bila kuzuiliwa.

Aina hii ya vijana wasiojua misingi ya sheria na utawala bora ni hatari kubwa sana kwa taifa, vijana tunanafasi kubwa sana kulitumikia taifa hivyo ni vyema tukasimama imara kusimamia katiba ili kuandaa nchi itakayoongozwa kwa kufuata Katiba.

Imetolewa na,

*Edward Simbeye*
Katibu Mwenezi *BAVICHA* Taifa.
Kweli cdm ina benki maridadi ya hazina ya viongozi

In God we trust
 
Mzigo ni bavicha mlioridhia fisadi Papa ambalo chadema lilitangaza kuwa ni fisadi Papa Na mkaliweka website ya chadema na kulitangaza fisadi miaka 20 ghafla mkalilamba miguu na kulipa ugombea uraisi. Nyooo nyie Ndio mizigo
Unaiabisha serikali yako kwa kushindwa kumkamata huyo fisadi papa

In God we trust
 
Mnapiga kelele tumekamata mwizi Siku mbili yuko huru.Masamaki mliyempigia baraghumu na vinanda Leo anarudi kwa ofisi yake.

Uhakika CCM ni chama Cha Majambazi
Umesahau kina Mramba walifungwa na kupewa kazi ya kupanga mafaili ofisini

In God we trust
 
Wakapinwe akina lisu mbowe mnyika msigwa na lema waliosema lisu fisadi wakageuka wasipimwe mkojo tu bali na haja kubwa pia
Ukisikia kuchanganyikiwa basi wewe ndiyo umechanganyikiwa

In God we trust
 
Tangu Mwl angatuke madarakani ccm haijawahi kuwa na kijana mwnye akili. Ndio maana tunapata viongozi reject. Huwezi kuwa kiongozi wa maana kwa kufikiria kwa kutumia tumbo. Vijana wote wa ccm kwa sasa wanafikiri kwa kutumia tumbo tu na wengine wanatumia alichosema masaburi
Umegonga penyewe kiongizi

In God we trust
 
Yaa CHADEMA ya LOWASA isingeyafanya ya kuondoa wafanyakazi hewa, kuwabana wakwepa kodi, kubadili sheria za umiliki wa rasilimali za TAIFA ili ziwe mikononi mwetu.
Ukishabikia haya kwenye chama chetu na LOWASA lazima mshipa wa aibu uwe umekatika.
Kakojoe ulale maana shuka yenyewe moja

In God we trust
 
Back
Top Bottom