UVCCM ni mzigo na hasara kwa taifa

UVCCM ni mzigo na hasara kwa taifa

Kutetea yanayofanywa na Chichiemu lazima mshipa wa aibu uwe umekatika
Yaa CHADEMA ya LOWASA isingeyafanya ya kuondoa wafanyakazi hewa, kuwabana wakwepa kodi, kubadili sheria za umiliki wa rasilimali za TAIFA ili ziwe mikononi mwetu.
Ukishabikia haya kwenye chama chetu na LOWASA lazima mshipa wa aibu uwe umekatika.
 
Mzigo ni bavicha mlioridhia fisadi Papa ambalo chadema lilitangaza kuwa ni fisadi Papa Na mkaliweka website ya chadema na kulitangaza fisadi miaka 20 ghafla mkalilamba miguu na kulipa ugombea uraisi. Nyooo nyie Ndio mizigo
Hivi uzi huu umeusoma na kuuelewa kweli?
 
Jeshi la polisi limechukuwa nafasi ya UVCCM,linajibu hoja za wapinzani na kuwa kama kikosi cha chipukizi cha chama
 
Bavicha wapo frustrated,hawana viongozi imara wa kufanya counter attacks na kutoa dira mpya,wamebakia kutoa statement za kulia lia.
Siasa yataka uongozi shupavu sio ujanja ujanja tu wa kutegemea maandamano
 
Mzigo ni bavicha mlioridhia fisadi Papa ambalo chadema lilitangaza kuwa ni fisadi Papa Na mkaliweka website ya chadema na kulitangaza fisadi miaka 20 ghafla mkalilamba miguu na kulipa ugombea uraisi. Nyooo nyie Ndio mizigo
KWANINI ADI LEO LIKO NNJE ALISOTI MAHAKAMANI MBELE YA TINGA TINGA WENU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzigo ni bavicha mlioridhia fisadi Papa ambalo chadema lilitangaza kuwa ni fisadi Papa Na mkaliweka website ya chadema na kulitangaza fisadi miaka 20 ghafla mkalilamba miguu na kulipa ugombea uraisi. Nyooo nyie Ndio mizigo
Hivi hii santuri huwa haichuji?!
 
Wakapinwe akina lisu mbowe mnyika msigwa na lema waliosema lisu fisadi wakageuka wasipimwe mkojo tu bali na haja kubwa pia
Hivi walisema lisu fisadi kumbe! Lini hiyo?!
 
Duniani kote vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kufikiri sahihi ndio wamekuwa msaada mkubwa sana kwa mataifa yao.

Marakadhaa vijana wamekuwa mstari wa mbele kupinga aina yeyote ya ukandamizaji na uvunjwaji wa katiba za nchi zao jambo ambalo lisipokemewa linaweza kupelekea uvunjifu wa amani kwa nchi zao.

Hivi karibu kumekuwa na tabia mbaya isiyoweza kuvumilika na mtu yeyote yule mpenda haki na usawa katika taifa lake, miezi michache iliyopita Serikali ya Ccm chini ya Raisi Magufuli imepiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa, lakini katazo hilo linaonekana limelenga zaidi vyama vya upinzani na Mabara yake,ile hali Ccm na mabara yao ya vijana,wazee na wanawake wanaendelea kufanya mikutano ya hadhara na vikao vya ndani.

Ni kukosa haya kwa kiongozi kama Shaka A Shaka Kaimu Katibu wa UVCCM taifa,kukana kuwa hajawahi kufanya mikutano ya hadhara, ile hali amefanya hivyo Katavi,Tabora,Bagamoyo na kwingineko .

Hoja ya Shaka kuwa vyama vya upinzani na Mabaraza yake wanashindwa kufanya vikao vya ndani kwa kuwa hawana ofisi ni hoja dhaifu na niyamtu alievimbiwa madaraka, anatakiwa kujua kikao cha ndani sio lazima kifanyike katika ofisi ya chama husika na kama tafsiri yake ya vikao vya ndani inamtuma ni katika ofisi tu , wanaojua maana ya vikao vya ndani wanapata picha pana ya uwezo wa akili yake ilivyo ndogo na nafasi aliyonayo kisiasa.

Katika mazungumzo yake shaka amegusia mikutano ya hadhara kuzuiliwa kwamba anaunga Mkono na akatolea mfano wa nchi kama marekani, hii pia ni dalili nyingine ya uvimbe kwenye ubongo alionao Shaka, maana amesahau kabisa kuwa Katiba ya nchi yetu na sheria ya vyama vya siasa inaruhusu vyama vya siasa kufanya siasa wakati wote bila kuzuiliwa.

Aina hii ya vijana wasiojua misingi ya sheria na utawala bora ni hatari kubwa sana kwa taifa, vijana tunanafasi kubwa sana kulitumikia taifa hivyo ni vyema tukasimama imara kusimamia katiba ili kuandaa nchi itakayoongozwa kwa kufuata Katiba.

Imetolewa na,

*Edward Simbeye*
Katibu Mwenezi *BAVICHA* Taifa.
Umoja wa vichaa wa chama cha mapinduzi (uvccm) ni zigo hasa tena la kinyesi, halibebeki na hata ukijikakamua kulibeba utalitua tu iwe kwa harufu ama kwa uzito wake.
 
Hahahahahaaa this is what we call life hatuwez wote kuwa sawa tuwe na mawazo sawa hushangai Humphrey polepole aliypendekeza katiba Leo maana ccm na ni mpinzan Wa ukawa
Tumeumbwa tofauti katika kila idara ili tuwe tofaut tukio unaweza liona la kusikitisha lakin kuna watu wakalipigia makofi tena wenye akili usilazimishe kila MTU awe kama wewe.
Dah mkuu unataka watu wote wawe chadema yaani dah sijui nisemeje, you are dreaming. Hata mm et niwe chadema dah haupo serious mkuu
Achana na ndoto tuje katika real life Leo hii itokee ajali washuhudie watu 100 alaf wale watu wahadithie ile ajali zitakjja stori hamsini tofauti
Hii Ina maana watu wamepewa macho tofauti na maono tofauti katika matukio so ni hivyo upande wangu chadema nawaona matapeli ingawa wewe unawaona wakomboz

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye kuelewa alichoandika huyu msaada tafadhari!
 
Duniani kote vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kufikiri sahihi ndio wamekuwa msaada mkubwa sana kwa mataifa yao.

Marakadhaa vijana wamekuwa mstari wa mbele kupinga aina yeyote ya ukandamizaji na uvunjwaji wa katiba za nchi zao jambo ambalo lisipokemewa linaweza kupelekea uvunjifu wa amani kwa nchi zao.

Hivi karibu kumekuwa na tabia mbaya isiyoweza kuvumilika na mtu yeyote yule mpenda haki na usawa katika taifa lake, miezi michache iliyopita Serikali ya Ccm chini ya Raisi Magufuli imepiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa, lakini katazo hilo linaonekana limelenga zaidi vyama vya upinzani na Mabara yake,ile hali Ccm na mabara yao ya vijana,wazee na wanawake wanaendelea kufanya mikutano ya hadhara na vikao vya ndani.

Ni kukosa haya kwa kiongozi kama Shaka A Shaka Kaimu Katibu wa UVCCM taifa,kukana kuwa hajawahi kufanya mikutano ya hadhara, ile hali amefanya hivyo Katavi,Tabora,Bagamoyo na kwingineko .

Hoja ya Shaka kuwa vyama vya upinzani na Mabaraza yake wanashindwa kufanya vikao vya ndani kwa kuwa hawana ofisi ni hoja dhaifu na niyamtu alievimbiwa madaraka, anatakiwa kujua kikao cha ndani sio lazima kifanyike katika ofisi ya chama husika na kama tafsiri yake ya vikao vya ndani inamtuma ni katika ofisi tu , wanaojua maana ya vikao vya ndani wanapata picha pana ya uwezo wa akili yake ilivyo ndogo na nafasi aliyonayo kisiasa.

Katika mazungumzo yake shaka amegusia mikutano ya hadhara kuzuiliwa kwamba anaunga Mkono na akatolea mfano wa nchi kama marekani, hii pia ni dalili nyingine ya uvimbe kwenye ubongo alionao Shaka, maana amesahau kabisa kuwa Katiba ya nchi yetu na sheria ya vyama vya siasa inaruhusu vyama vya siasa kufanya siasa wakati wote bila kuzuiliwa.

Aina hii ya vijana wasiojua misingi ya sheria na utawala bora ni hatari kubwa sana kwa taifa, vijana tunanafasi kubwa sana kulitumikia taifa hivyo ni vyema tukasimama imara kusimamia katiba ili kuandaa nchi itakayoongozwa kwa kufuata Katiba.

Imetolewa na,

*Edward Simbeye*
Katibu Mwenezi *BAVICHA* Taifa.
Umoja wa vichaa wa chama cha mapinduzi (uvccm) ni zigo hasa tena la kinyesi, halibebeki na hata ukijikakamua kulibeba utalitua tu iwe kwa harufu ama kwa uzito wake.
 
Back
Top Bottom