Sudysoko
JF-Expert Member
- Aug 19, 2015
- 449
- 180
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) ukiongozwa na Mwenyekiti wake wa Tanzania Kijana Kheri D James siku ya Jumamosi tarehe 13/10/2018 wamejiandaa kufanya Matembezi makubwa ya Kuenzi Fikra za Mwl Julius Kambarage Nyerere.
Haya ni matembezi ya Amani yenye lengo la kumuenzi Baba/Babu wa Taifa hili Mwl Nyerere hivyo nimetamani sana na niwaombe Vijana kutoka Vyama vingine vya Siasa kuungana nao Vijana wenzenu katika hili lenye kuleta kumbukumbu Chanya+ ya yale aliyokuwa anayaishi Mwl Nyerere na wakati huu Rais Dkt Magufuli anavyojaribu kufuata Fikra hizi za Mwalimu(Baba wa Taifa) na kuziishi.
NB; Kuna jambo la kujifunza kwa Vijana wa Vyama Vingine.
Haya ni matembezi ya Amani yenye lengo la kumuenzi Baba/Babu wa Taifa hili Mwl Nyerere hivyo nimetamani sana na niwaombe Vijana kutoka Vyama vingine vya Siasa kuungana nao Vijana wenzenu katika hili lenye kuleta kumbukumbu Chanya+ ya yale aliyokuwa anayaishi Mwl Nyerere na wakati huu Rais Dkt Magufuli anavyojaribu kufuata Fikra hizi za Mwalimu(Baba wa Taifa) na kuziishi.
NB; Kuna jambo la kujifunza kwa Vijana wa Vyama Vingine.