Bashe,
Ondoka CCM kama hupendi vyama vya upinzani ni heri usiwe na chama kama mimi. Utakuwa more objective na utakosoa vizuri sana. Ukisema sasa hivi kila mtu anakufikiria labda tu unawatetea ma-triplets. Kuondoa hayo toka huko tukosoe tukiwa huru. Usije uko-Kolimbwa bure tukapoteza mpiganaji.