UVCCM: Hussein Bashe amjibu Nape kiaina



Kamwe duniani na asilani ktk uhai wake huyu Bashe hawezi kuwa miongoni mwa wapiganaji...fuatilia kila linalotoka mdomoni mwake halafu fanya ku amplify then utakuta kijana kaoza kuliko matango ya E.Coli yanayotupwa hivi sasa huko ulaya..matango yale ukiyaangalia kwa macho yavutia kwelikweli kumbe ni balaa na yamejaa E.Coli na Bashe vivyohivyo, Lowassa, RA, etc all are like father..like son,ukiwaaangalia kwa sura utafikiri watu kumbe ndio wanaotumaliza bila huruma
 
Hana lolote anataka kupunguza kasi ya kuwafukuza mafisadi ndani ya CCM kwani yeye ni mwajiriwa wao. Kama kweli ana dhati ya haya anayosema kwani hayasemi katika vikao vya CCM kama vile NEC ambayvo yeye ni mjumbe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…