Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida amezungumza kuhusu vuguvugu la vyama vinavyofungiwa na kuzuiwa kutokana na siasa zao, akisisitiza kuwa Chama Cha Mapinduzi hakihusiki na zuio hilo bali kimejipanga kuhakikisha kinashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Inyonga, MIele katika ziara ya Siku Saba za Kibabe itakayofanyika katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Songwe kuanzia tarehe11 - 17 Juni 2025.
Chanzo: Jambo Tv
Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Inyonga, MIele katika ziara ya Siku Saba za Kibabe itakayofanyika katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Songwe kuanzia tarehe11 - 17 Juni 2025.