GE2025 UVCCM Geita wakanusha taarifa iliyosambaa mitandaoni

GE2025 UVCCM Geita wakanusha taarifa iliyosambaa mitandaoni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
TAARIFA KWA UMMA TUPUUZE UPOTOSHAJI HUU Umoja Wa Vijana Chama Cha Mapinduzi mkoa Wa Geita haujatoa taarifa yoyote kuhusu hili jambo, ni watu wachache wasioitakia mema jumuiya yetu pamoja na amani ya Nchi yetu.

Barua hiyo ambayo ilikuwa imelekeza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa ndani saa 24 apatikane mwenyekiti wao Ndugu Manjale Magambo aliyetekwa.

547509407.jpg
 
TAARIFA KWA UMMA TUPUUZE UPOTOSHAJI HUU Umoja Wa Vijana Chama Cha Mapinduzi mkoa Wa Geita haujatoa taarifa yoyote kuhusu hili jambo, ni watu wachache wasioitakia mema jumuiya yetu pamoja na amani ya Nchi yetu.

Barua hiyo ambayo ilikuwa imelekeza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa ndani saa 24 apatikane mwenyekiti wao Ndugu Manjale Magambo aliyetekwa.

Unaposema upuuzwe unamaanisha hutaki huyo mwenyekiti wenu apatikane?
 
Unapoaema upuuzwe unamaanisha hutaki huyo mwenyekiti wenu apatikane?
Wako tayar afe auliwe ili wao wawe salama wasihoji chochote waendelee kutikisa makalio kwenye mikutano na kupata incentives mavi
 
Back
Top Bottom