MCHONGANISHI
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 372
- 364
Kila nafsi itaonja mauti! Kwa nini watu wahamaki kuambiwa watakufa?? Mimi nikiambiwa ntakufa ntashukuru sababu inanikumbusha kile Mungu ametuahidi KIFO
Hawa watu hawaaminiki wamekuwa matapeli hawana tofauti na scorpion.Huyu naye achunguzwe jee hana kitambulisha kama kile?
UNDERCOVER AGENT
SPECIAL FORCE
Tayali amekamatwaKwani huyo Lema bado hajakamatwa?
Kwanza poleni wana Arusha nasikia pale Makumira kuna binti kagegedwa mpaka kufa, kuhusu Lema kumhoji kwa kauli hiyo ni wendawazimu anayejua kifo cha mtu ni lini si polisi ni Mungu pekee, we angalia robo ya wote waliomtabiria Lowasaa kifo hatunao tena wengine wapo njiani, labda jeshi kwa kushirikiana na wananchi waaminio wamsihi Lema akatubu dhambi hiyo jumapili hii tena kwa dhati![]()
Mwenyekiti wa Uvccm wilaya ya Arusha mjini Martin Munisi amelitaka jeshi la polisi kumkamata Mara moja mbunge wa jimbo la Arusha mjini Chadema God bless Lema kwa kitendo chake cha kusema Mh raisi atakufa kabla ya 2020 kama hatawasikuliza wao chadema Mwenyekiti Martin Munisi ameyasema hayo jioni hii wakati akihojiwa na Radio Sun Rise ya jijini Arusha
Eidha mwkt Munisi amelitaka jeshi la polisi kutoa ufafanuzi wa mikutano iliyokatazwa na inayotakiwa maana lema anafanya mikutano ya chadema na siyo mikutano ya mbunge mikutano ya mbunge hulenga kuzungumzia ahadi za mbunge alizotekeleza atakazotekeleza na kuhamasisha maendeleo ila kinyume chake Lema yeye anasema wananchi wataingia barabarani maana hali ni mbaya mara raisi takufa kabla ya 2020
haya ni maneno yasiyovumilika hata kidogo kwenye jamii iliyostaharabika nivizuri jeshi letu likamhoji lema kuhusu kumzushia au kutabiri kifo Kwa mwkt wetu wa chama taifa na na rais wetu .Nakwavile Lema hana agenda nalitaka jeshi la polisi kuzuia mikutano yake kama wasipozuia sidhani kama vijana wa ccm na wananchi wapenda nchi yao watakuwa tayari kuvumilia matusi ya lema kwa Mh rais, wetu mpendwa.
Chanzo: Muungwana
Aende na mkewe.Lema akatubu dhambi hiyo jumapili hii
Safi sana, sasa kamanda Lisu atatengeneza mshahara.Tayali amekamatwa
[emoji4] wee jamaaPOLISI ARUSHA WALIMTAKA JESHI LA LEMA LIMKAMATE UVCCM.
msiniulize maswali, napenda ujinga wenye faida.😱
![]()
Mwenyekiti wa Uvccm wilaya ya Arusha mjini Martin Munisi amelitaka jeshi la polisi kumkamata Mara moja mbunge wa jimbo la Arusha mjini Chadema God bless Lema kwa kitendo chake cha kusema Mh raisi atakufa kabla ya 2020 kama hatawasikuliza wao chadema Mwenyekiti Martin Munisi ameyasema hayo jioni hii wakati akihojiwa na Radio Sun Rise ya jijini Arusha
Eidha mwkt Munisi amelitaka jeshi la polisi kutoa ufafanuzi wa mikutano iliyokatazwa na inayotakiwa maana lema anafanya mikutano ya chadema na siyo mikutano ya mbunge mikutano ya mbunge hulenga kuzungumzia ahadi za mbunge alizotekeleza atakazotekeleza na kuhamasisha maendeleo ila kinyume chake Lema yeye anasema wananchi wataingia barabarani maana hali ni mbaya mara raisi takufa kabla ya 2020
haya ni maneno yasiyovumilika hata kidogo kwenye jamii iliyostaharabika nivizuri jeshi letu likamhoji lema kuhusu kumzushia au kutabiri kifo Kwa mwkt wetu wa chama taifa na na rais wetu .Nakwavile Lema hana agenda nalitaka jeshi la polisi kuzuia mikutano yake kama wasipozuia sidhani kama vijana wa ccm na wananchi wapenda nchi yao watakuwa tayari kuvumilia matusi ya lema kwa Mh rais, wetu mpendwa.
Chanzo: Muungwana