Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,084
- 23,968
Hana lolote huyo ni mmoja kati ya wale vijana wanaotoana roho kuwania uongozi UVCCM,anajiita mh kisa ni diwani wa kata gani sijui dodoma huko! anamiliki ka group kake kule facebook kanaitwa TANURU LA FIKRA,kutwa ni kuwachafua vijana wenzake wenye nia na UVCCM kwenye hilo group na ni mmoja wa wafuasi wa kigwangala,anamkashifu bashe kila siku! anajiita comrade sambala,kifupi anapenda misifa ya kijinga! Im out aje ajitetea nimwage maovu yake hapa,,,
mkuu umeongea ukweli mtupu, namjua huyu anayejiita mh sambala kule fb anapenda misifa ya kijinga na nkpata muda ntatupia picha ya hapa mmuone vizuri.