impelle
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 832
- 1,100
Umeniwasha mshumaabikini inaumiza sana bonde la ufa. nilishindwa kabisa kuzivaa. kidogo inikate rift valley yangu ni mateso makubwa wavae tu vimbao mbao
Ngoja nitafute mzimaji
Umeniwasha mshumaabikini inaumiza sana bonde la ufa. nilishindwa kabisa kuzivaa. kidogo inikate rift valley yangu ni mateso makubwa wavae tu vimbao mbao
Weka pichabikini inaumiza sana bonde la ufa. nilishindwa kabisa kuzivaa. kidogo inikate rift valley yangu ni mateso makubwa wavae tu vimbao mbao
bira me navaa mabukta yangu tu aisee iwe ya kitoto kila siku
Yani nilivyomaliza kusoma tu nikakufikiria wewe..We ambae hauvai kabisa sijui itakuwaje...Inabidi nimtafute shem anipe mrejesho..teh teh..bira me navaa mabukta yangu tu aisee iwe ya kitoto kila siku
ha hahaha kaka usijeniomba ni dhambi hiyoYani nilivyomaliza kusoma tu nikakufikiria wewe..We ambae hauvai kabisa sijui itakuwaje...Inabidi nimtafute shem anipe mrejesho..teh teh..
zipo iana nyingi nyingi pamoja na hiyoMi mgeni wa haya mambo hivi bikini ndo ile iko kama mikanda ya ndala??
Bora wewe komando kipensi miss chapaa
Teh teh..Siwezi kukuomba Sista..Shem ataniambiaha hahaha kaka usijeniomba ni dhambi hiyo
sawa broTeh teh..Siwezi kukuomba Sista..Shem ataniambia
hahaha we jamaa wewe BANGE yako lazima unachanganya na NNYA ya farasiVipi Mkuu na Wewe Mbunye imeshapata hitilafu ya Kutukuka nini?
Mwanamke akivaa hizo Bikini huacha sehemu kubwa na hewa kupita kiurahisi na hata Bacteria huweza kupenya kirahisi hivyo kuziathiri Mbunye kwa kiasi kikubwa sana.
Nawasilisha.
Pole mpendwabikini inaumiza sana bonde la ufa. nilishindwa kabisa kuzivaa. kidogo inikate rift valley yangu ni mateso makubwa wavae tu vimbao mbao
Mtoa mada hii topic kaiongelea zaidi vile anavyopenda yeye mwanamke avae...