Uuzwaji holela wa silaha jijini Dar es Salaam

Uuzwaji holela wa silaha jijini Dar es Salaam

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,146
Reaction score
2,553
Nipo kwenye jiji la Daresalama, napita na kuvivinjari viunga vyake.

Kitu kilichonishangaza ni jinsi Siraha mbalimbali zinavyouzwa kiholela, maeneo ya Kariakoo (soko kuu) nimeona uuzwaji holela wa siraha aina ya visu, mapanga, mundu, shoka, hata vile visu vya kininja. Kwa mujibu wa sheria hizi zote ni siraha, ambazo muuzaji na mnunuaji/mmiliki lazima awe na kibali.

Sidhani kama wauzaji na wanunuaji wanafuata taratibu kulingana na sheria inavyotaka.

41P9EXr-ccL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg
 
Kitu chochote kinaweza kua Silaha inategemea na kitu hicho unataka kukitumiaje,

Hata kiberiti ni silaha pia,hata Kamba ni silaha pia,ukianza kuhesabu ni vitu gani ambavyo ni silaha na visiuzwwe,basi utazuwia uuzwaji wa vitu vingi sana.

Japo wazo lako au wasiwasi wako nauheshimu na kuheshimu maoni yako.
 
Kitu chochote kinaweza kua Silaha inategemea na kitu hicho unataka kukitumiaje,

Hata kiberiti ni silaha pia,hata Kamba ni silaha pia,ukianza kuhesabu ni vitu gani ambavyo ni silaha na visiuzwwe,basi utazuwia uuzwaji wa vitu vingi sana.

Japo wazo lako au wasiwasi wako nauheshimu na kuheshimu maoni yako.
Mkuu! Naongelea vitu vilivyohainishwa kisheria.
 
Nili
Nipo kwenye jiji la Daresalama, napita na kuvivinjari viunga vyake.
Kitu kilicho nishangaza ni jinsi Siraha mbalimbali zinavyouzwa kiholela, maeneo ya Kariakoo (soko kuu) nimeona uuzwaji holela wa siraha aina ya visu, mapanga, mundu, shoka, hata vile visu vya kininja. Kwa mujibu wa sheria hizi zote ni siraha, ambazo muuzaji na mnunuaji/mmiliki lazima awe na kibali.
Sidhani kama wauzaji na wanunuaji wanafuata taratibu kulingana na sheria inavyotaka.View attachment 3537881
Vyosoma kichwa nikajua miguu ya kuku nikabebe mmoja kumbe visu
 
Nipo kwenye jiji la Daresalama, napita na kuvivinjari viunga vyake.
Kitu kilicho nishangaza ni jinsi Siraha mbalimbali zinavyouzwa kiholela, maeneo ya Kariakoo (soko kuu) nimeona uuzwaji holela wa siraha aina ya visu, mapanga, mundu, shoka, hata vile visu vya kininja. Kwa mujibu wa sheria hizi zote ni siraha, ambazo muuzaji na mnunuaji/mmiliki lazima awe na kibali.
Sidhani kama wauzaji na wanunuaji wanafuata taratibu kulingana na sheria inavyotaka.View attachment 3537881
Watu wa Daslamu bwana...Kumiliki Panga nako kunahitaji kibali?!

Huku Kwetu TARIME Kumiliki Panga kwa mwanaume ni LAZIMA! Na Si hiyari!

Mji Usio Na Panga (Size 16-18) ama Silaha yoyote ile ya jadi/ ama Mwanaume yeyote asiemiliki silaha yoyote ya jadi.......UNATOZWA FAINI! Kwenye Mkutano wa Jumuiya (ili-Tongo)!
 
Watu wa Daslamu bwana...Kumiliki Panga nako kunahitaji kibali?!

Huku Kwetu TARIME Kumiliki Panga kwa mwanaume ni LAZIMA! Na Si hiyari!

Mji Usio Na Panga ama Silaha yoyote ile ya jadi/ ama Mwanaume yeyote asiemiliki silaha yoyote ya jadi.......UNATOZWA FAINI! Kwenye Mkutano wa Jumuiya (ili-Tongo)!
Mura tata!
 
Back
Top Bottom