Noe kidumage
Member
- Aug 25, 2016
- 84
- 25
- Thread starter
- #21
Wakuu nmejitahd sana. Asa naashindw kujua itayotumika kma camera natumia app gan?! Na itayotumika kma computer natumia app gan?! Help m pls
INAWEZEKANA KABISAKwan mkuu simu kwa simu haiwezekani?!
UNAZUNGUMZIA SIMU KWA SIMU ILI UWEZE KUFANYA REMOTE ACCESS BILA KUTUMIA VIFAA KAMA KUTUMIA VIFAA KAMA SYSTEM HILO PIA LINAWEZEKANA.Kwan mkuu simu kwa simu haiwezekani?!
Thank u so much my brother. Nmefanikiwa. SNA cha kukupa ila tu nashukuru kwa kunigawia weredi huu. JF.UNAZUNGUMZIA SIMU KWA SIMU ILI UWEZE KUFANYA REMOTE ACCESS BILA KUTUMIA VIFAA KAMA KUTUMIA VIFAA KAMA SYSTEM HILO PIA LINAWEZEKANA.
KWA KIFUPI UTA DOWNLOAD PROGRAM INAITWA TEAMVIEWER
KWENYE SIMU ZOTE MBILI LAKINI HAKIKISHA KWENYE SIMU ZAKO ZOTE MBILI UNA MEMORY CARD YA GB 4 .
UKISHAMALIZA KUDOWNLOAD TEAMVIEWER KWENYE SIMU YAKO UTAFANYA CONFIGURATIONS AU SETTINGS ILI UWEZE KU ENABLE REMOTE ACCESS KWENYE SIMU ZOTE MBILI.
UKISHAMALIZA WEKA BUNDLE HALAFU SIMU MOJA IWEKE KWENYE CENTRE POINT KAMA NI SEBULENI CHUMBANI NA HAKIKISHA DATA UMEWASHWA.
BAADA. YA HAPO ONDOKA KWENDA MBALI NA SIMU MOJA UKISHAMALIZA JUST LOGIN KUPITIA TEAMVIEWER ITAKUPELEKA KWENYE SYSTEM YA SIMU ULIOIACHA NYUMBANI
BAADA YA HAPO NENDA KWENYE CAMERA NA SELECT VIDEO KUFANYA SURVILENCE ILI KUJUA WHAT IS GOING ON AT HOME
NmewezaUNAZUNGUMZIA SIMU KWA SIMU ILI UWEZE KUFANYA REMOTE ACCESS BILA KUTUMIA VIFAA KAMA KUTUMIA VIFAA KAMA SYSTEM HILO PIA LINAWEZEKANA.
KWA KIFUPI UTA DOWNLOAD PROGRAM INAITWA TEAMVIEWER
KWENYE SIMU ZOTE MBILI LAKINI HAKIKISHA KWENYE SIMU ZAKO ZOTE MBILI UNA MEMORY CARD YA GB 4 .
UKISHAMALIZA KUDOWNLOAD TEAMVIEWER KWENYE SIMU YAKO UTAFANYA CONFIGURATIONS AU SETTINGS ILI UWEZE KU ENABLE REMOTE ACCESS KWENYE SIMU ZOTE MBILI.
UKISHAMALIZA WEKA BUNDLE HALAFU SIMU MOJA IWEKE KWENYE CENTRE POINT KAMA NI SEBULENI CHUMBANI NA HAKIKISHA DATA UMEWASHWA.
BAADA. YA HAPO ONDOKA KWENDA MBALI NA SIMU MOJA UKISHAMALIZA JUST LOGIN KUPITIA TEAMVIEWER ITAKUPELEKA KWENYE SYSTEM YA SIMU ULIOIACHA NYUMBANI
BAADA YA HAPO NENDA KWENYE CAMERA NA SELECT VIDEO KUFANYA SURVILENCE ILI KUJUA WHAT IS GOING ON AT HOME
Kwa kutumia simu. NI rahisi hapo una download program ya hki vision halafu una register information DVR yako pamoja na email na password badae uta login kwa username n password .
Ila kumbuka make sure una router connected to DVR kwa ajiri. Ya internet services
Mkuu una MAANA somo LA CCTV SECURITY UNGEPENDA KULIFAHAMU KWA KIFUPI ILI UJIFUNZE CCTV SECURITY SYSTEMS VITU VYA UMUHIMU KUFAHAMU AMBAVYO NI.....Mkuu ahsante kwa maelezo ila naomba uongeze nyama (details)
ili tukuelewe vizuri zaidi.
OK sawa karibu sanaaThank u so much my brother. Nmefanikiwa. SNA cha kukupa ila tu nashukuru kwa kunigawia weredi huu. JF.
Hii kitu pia naweza nkatega SMU zaid ya 1 (ambayo Inatumika kma camera)?!? Na umbali je?!?OK sawa karibu sanaa
kwenye sim nyingine, ile IP address yako utaingiza wapi? au kweny app gani?Fanya ifuatavyo
Download IP webcam kwenye playstore
Kisha install na kuifanyia configaration
Then fungua hiyo app na u-start server
itaonesha IP address ya hiyo simu.
Note: Hiyo simu ndio itakayotumika kama server na ndio itakayokuwa ina monitor eneo husika
chukua simu yako nyingine au nenda kwenye computer yeyote ilimradi iwe na internet connection
then andika ile IP address ya kwenye sever itakupa uandike user name na PSW uliyo i-configure kwenye ile sever.
then utaanza kui-access ile server.
Ebu nifundshe vzur hpo mkuuINAWEZEKANA KABISA
Wala haihitaji makamera sijui,dvr wala waya
Ni Simu Zako Mbili Zenye Bando La Internet Tu...
Email Address Ndo Itaunganisha Simu Zako Hata Simu Moja Iwe USA na nyingine BONGO,utaona kinachoendelea kwenye kamera uliyoitega kupitia simu yako nyingine..
Kwenye address bar ya browser unayo tumia, itakupa option ya kuandika user name na password uliyo i- configure kwenye ile simu ya wali.kwenye sim nyingine, ile IP address yako utaingiza wapi? au kweny app gani?
Wadau mambo VP?!??nlshadodosewa kuwa wapo wataalamu Wa IT ambao wanauwezo kuunganisha simu kwa simu. Simu ya 1 ikatumika kma camera na sm ya 2 ikatumika kma computer. Na hii inaunganishwa bila kutumia waya 'wireless' mwenye uelewa na hii taaluma tafadhal Anisaidie.
Mungu awabaliki.