long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,083
- 1,037
Naomba nikuulize swali sub woofer yangu haitoi sauti na haisense flash wala sauti ya TV baada ya kuchomeka smartphone kwenye sub woofer kwa kutumia USB ya kuchagia.Sub woofer za nyumbani, zipo ktk viwango to tofaut tofaut, nyingi mnazoziona zinakuwa na spika ndogo 5, na Kubwa 1, ILA naweza kuunda ikiwa na spika ndogo 2 na Kubwa 1, Hilo linatokana na hitaji lako na mfuko Wako, kila design Ina gharama yake, ILA zipo ambazo design Ni moja Tu na zinafanana kwa idadi za Spika, kasoro ukubwa wa nguvu na spika ya bassi , sabufa zote zina sehemu ya frash, memory card port na fm radio, PIA zipo ktk analogy volume control na digital control kupitia remote, sauti zake zipo vizuri Sana. Mdundo mzuri Sana kulingana na op amp nazotumia kuwa vizuri PIA, kwa salio iringa mjin na jiran, karibuni namba zangu Ni 0755680562
Una aina gani na bei je???Nilianza uundaji Wa box za Spika za sub woofer kwa ajil ya magari, nyumbani na maukumbini, natumia MDF Kama materials ya kuundia box, rangi na Leather kwa decolation
Safi sana kaka mwanzo mzuri,elimu haimaanishi kwenda kuwa bank teller akiba au nmb tu hata vitu kama hivi inataka that's why waliovumbua vitu kama simu tunazotumia au computer walijifungia mahali wakavumbua,nadhani utafika mbali na utawafundisha vijana.Katika magari
Big up kaka.Sub woofer za nyumbani, zipo ktk viwango to tofaut tofaut, nyingi mnazoziona zinakuwa na spika ndogo 5, na Kubwa 1, ILA naweza kuunda ikiwa na spika ndogo 2 na Kubwa 1, Hilo linatokana na hitaji lako na mfuko Wako, kila design Ina gharama yake, ILA zipo ambazo design Ni moja Tu na zinafanana kwa idadi za Spika, kasoro ukubwa wa nguvu na spika ya bassi , sabufa zote zina sehemu ya frash, memory card port na fm radio, PIA zipo ktk analogy volume control na digital control kupitia remote, sauti zake zipo vizuri Sana. Mdundo mzuri Sana kulingana na op amp nazotumia kuwa vizuri PIA, kwa salio iringa mjin na jiran, karibuni namba zangu Ni 0755680562