kwanini tu
Member
- Nov 8, 2011
- 50
- 63
Hapa mbele umekaa kama umeungua yaani ni mweupe dawa yake ni nini nahitaji msaada tafadhali
hapa mbele umekaa kama umeungua yaani ni mweupeeeeeeee dawa yake ni nini jamani
mbele wapi? elezea juu vizuri tujue ni sehemu gani.
Kwenye kichwa mbona mgumu kuelewa au huijui?
weka picha
hapa mbele umekaa kama umeungua yaani ni mweupeeeeeeee dawa yake ni nini jamani
Mkuu pole sana kwa hayo yaliyo kupata, huo ugonjwa unaitwa vitiligo na huwa hautibiki cha msingi ni wewe kuikubali tu hiyo hali na inabidi uende kwa wataalamu wa magonjwa ya ngozi kwa ushauri na huduma zaidi. Kwa wapenda picha hii hapa: