lekumok
JF-Expert Member
- Feb 8, 2018
- 589
- 771
Habari za mda huu waungwana,
Naomba mwenye kujua hili tatizo linalo nisumbua mda Sasa. Yaani mda wote nakua nipo sawa ila ikifika ule muda nikianza kulala uume unanza kusimama wenyenye pasipo kuusisimua na hali hiyo huendelea hadi asubuhi,
Msaada kwa mwenye kujua chanzo
Naomba mwenye kujua hili tatizo linalo nisumbua mda Sasa. Yaani mda wote nakua nipo sawa ila ikifika ule muda nikianza kulala uume unanza kusimama wenyenye pasipo kuusisimua na hali hiyo huendelea hadi asubuhi,
Msaada kwa mwenye kujua chanzo