Emmathias
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 678
- 947
Mkuu asante kwa ushauri wako hapa jukwaani, Mimi pia Nina tatizo la kutosimamisha na nilisimamisha mashine inakuwa legelege. Afu pia nakosa hamu ya mapenzi swali je huu ushauri wako hapa utanifaa? Msaada wako mkuuKama sekta zingine uko sawa, yaani asubuhi unapata erection tatizo ni ulegevu tuu. Kuna option mbili na zote kwangu zinafanya kazi ila nitayokuelekeza ya kwanza ndo naiona ni salama zaidi.
1. Chukua mafuta ya mzaituni (olive oil) na vitunguu swaum punje kadhaa. Viponde vitunguu swaum vitie humo kwenye mafuta ya mzaituni acha vichanganyike kwa walau nusu saa halafu uje uchue kwenye dushe lako (nawa tu mikono dushe usilioshe). Itapendeza ukifanya hili zoezi usiku ili ulale nao huo mchanganyiko then asubuhi ndo unaoga.
NB: Sikushauri kufanya mchana maana utakuwa unanuka vitunguu swaum watu wanaweza wakakukimbia
2. Hii ni ya kihuni zaidi na inafanya kazi ila sikuipendelea sana kwakuwa inahusisha kitu kilichopitia kiwandani. Iko hivi chukua whitedent au colgate herbal (ya kijani sio zile nyekundu) kamulia kwenye kopo donge kubwa kiasi halafu chukua limao kamulia humo koroga mpaka vyote vichanganyike pamoja, uwe unapaka kwenye dushe baada ya nusu saa unanawa. Itakuwasha kama umepaka vicks (ila inavumilika).
Hiizi zote mbili ni zinasisimua misuli ya uume. Hivyo kama tatizo lako ni la kisaikolojia hazitokusaidia. Kujua kama ni tatizo la kisaikolojia itabidi uchepuke tafuta msichana mwingine atakayekuvutia jaribu kulala nae ukiona inasimama fresh basi ujue tatizo ni saikolojia yako tu na huyo mpenzi wako.
Kila la kheri Mkuu.