Uume hausimami nyumbani

Mkuu ulishahisi mkeo ana serengeti boy ?
 
huna tatatizo lolote wewe ndo unayosababisha hayo kwa kuhamishia akili yote nyumba ndogo,maswala ya mapenzi yanabebwa zaidi na akili, ila ushauri achana na nyumba ndogo utaisambaratisha familia yako sasa hivi, inaonekena wewe ni mtu wa wengi,basi kuwa yule mtu wa hapo kwa hapo hamjuani tena!
 

Dawa nyingine wakati ukiwa na mkeo mnakula mate kujiandaa basi akutie dole m.k.u.n.d.u.n.i, lazima utasimamisha
 
Achana na nyumba ndogo, rudi kwa mkeo, tenga muda kwa ajili ya ndoa yako na Mungu atakupa nafasi nyingine katika maisha yako.
 

Pia ujue msingi mkubwa wa ndoa ni UVUMILIVU. Iwapo nyumba yenu ina matatizo tafuta suluhisho wakati huo huo jipe faraja kwa kuona yanayotokea kwako ni ya KAWAIDA. Hiyo itapunguza MSONGO (stress) jambo ambalo ni janga kubwa katika mahusiano. Stress inaweza sababisha Pressure kupanda bila kujijua ambayo automatically itasababisha uume kutosimama. Ni vema pia ukipima pressure yako likewise Cholestrol level.
 
Hii kitu imenitokea mim ..nimefunga safari hadi dom kwa mke wangu lakin sikuchaji ...niliporud kwa king'amuzi changu yani hata sijafika tu kwake njia nzima mm nmechaji [emoji6][emoji6]
 
dah hii ishu inatokeaga wengi mkuu..mimi piaa ilishawah kunotokea..nadhan mara nying insbabishwaa n akili zaid kuliko mambo mengine..wake zetu sbb tunaonana nao daily inafik hatua tunawazoeaa sana...ushauri wa wadau hapo juu..jitahd kutengenez mazingiraa rafiki ..no stresss kbsaaa..n with time utapona tu
 
Sio kweli,unaweza ukawa unafanya kazi mbali na mkeo yaani mkoa au wilaya tofauti,na huko unakofanyia kazi uko na mchepuko ambao unaishi nao Kama mkeo,unapika na kupakua,na unaweza ukakaa hata miezi mitatu hujaonana na mkeo,lakini bado ukienda kwa mkeo unakuta imegoma kabisa inabidi uanze kumeza panadol kusingizia homa
 
Hayo mambo mbn kama ya fatema wa kule kaskazin mashariki!?

Muache huyo kiongoz atakutia uhanithi shauri yako.
 
Hii niliona Instagram Kuna mdada mmoja alikua anafundisha wengine namna ya kumfanya mwanaume uume wake usisimame kwa wanawake wengine isipokua kwake tu. Sasa kumbe ninkweli kabisa
Bro it's simple Kuna kitu amekufanyia huyo mdada and it's very simple. Hapo huchomoki mpaka upachimbe la sivyo huna ndoa tena
 
Hio inaitwa kata funuwa,ulivopiga bao la kwanza kwa huyo mchepuko wako,akaipitia hizo sperms zako kimyaaa kimyaaa,akaenda kukata na kufumua
Haita simama sio kwa mkeo tu hata kwa wanawake wengine,isipokuwa huyo huyo king’amuzi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…