Big Phil
Member
- Nov 20, 2019
- 50
- 338
Nimekuwa nafuatilia taarifa za habari kila inapofika saa mbili usiku, mara nyingi kwenye vituo vya ITV na TBC. Vituo vingi vinarusha habari nzuri ila kwa hii stesheni ya UTV ni kiboko. Habari zote zime haliliwa kwa uhakika, watangazaji wapo very smart and consistent no bias. Unafurahi hata kufuatilia hatua kwa hatua. Big up UTV keep on shinning.