falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,223
- 9,346
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi
Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.
Source:bbc.com/swahili
Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.
Source:bbc.com/swahili