Uturuki yajuta kutungua ndege ya urusi

Uturuki yajuta kutungua ndege ya urusi

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,223
Reaction score
9,346
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

Source:bbc.com/swahili
 
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

Source:bbc.com/swahili

Huyu er dog lazima awe mpole. Russia keshamwekea vikwazo na vitamwadhiri yy nato wako pembeni tu wanakula bacon
 
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

Source:bbc.com/swahili

Turkey has a huge backing of NATO, (actually she is their strategic ally), I don't think Russia will dare touch them.

If they dare, that will be a start of World War 3
 
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

Source:bbc.com/swahili

Huyo Edogan anazingua tu, ana dharau sana na urusi wamesha mjua ni mzushi yani anachimba mkwara huku anajifanya anahuzunika masaa machache kabla hajatoa hayo maneno alisema warusi wanacheza na moto kwakitendo cha kuwasumbua raiya wake huko russia.
 
Huyo Edogan anazingua tu, ana dharau sana na urusi wamesha mjua ni mzushi yani anachimba mkwara huku anajifanya anahuzunika masaa machache kabla hajatoa hayo maneno alisema warusi wanacheza na moto kwakitendo cha kuwasumbua raiya wake huko russia.
endorgan ni mtata sana,ngoja tuone mziki unavyoenda
 
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

Source:bbc.com/swahili

Mkuu Falconmombasa lini unipe kapani Ethiopia hii likizo time?
 
Last edited by a moderator:
Mrusi atulie kama hana la kufanya na awache mikwara. Ndege zake zimetunguliwa na hajafanya lolote na mashabiki wake humu JF wanatuambia eti anafanya timing.
 

Attachments

  • 1448806930948.jpg
    1448806930948.jpg
    4.2 KB · Views: 1,684
Mrusi atulie kama hana la kufanya na awache mikwara. Ndege zake zimetunguliwa na hajafanya lolote na mashabiki wake humu JF wanatuambia eti anafanya timing.

MK254 mrusi hamuogopi uturuki,kumbuka gesi inayotumika instanbul inatokana na ikulu ya moscow,pia ukumbuke mkataba walioandikishiana baina ya urusi marekani.marekani alijua ratiba nzima ya russia katika hilo la mpaka kupitia mkataba walioandikiahiana namna ya kudhibiti migaidi ya IS,sasa alichofanya marekani ni kumzumguka russia na kumwambia turkey kuwa putin karusha ndege zake za kivita ndani ya nchi yako hivyo ilipue,turkmen baada ya kupokea taarifa kutoka pentagon wakaona ni chance nzuri kwakuwa america ako nyuma yao
 
Last edited by a moderator:
Turkey has a huge backing of NATO, (actually she is their strategic ally), I don't think Russia will dare touch them.

If they dare, that will be a start of World War 3

Hardly. No one is in a hurry to start a war.
I actually think Putin can blow up Turkey and all the west will do is alienate Russia economically.
 
Hapo kwa Putin kachemka ngoja tuone Mrusi atafanya nini
 
Hapo kwa Putin kachemka ngoja tuone Mrusi atafanya nini
Ikiwa katika NATO turkey ni second powerful nation kijesh hapohapo turkey hawawafikii russia kwa silaha nzito za kisasa sasa unafikiri kijeshi cha nato kina ubavu wa kumsumbua puttin?
 
Ikiwa katika NATO turkey ni second powerful nation kijesh hapohapo turkey hawawafikii russia kwa silaha nzito za kisasa sasa unafikiri kijeshi cha nato kina ubavu wa kumsumbua puttin?

Turkey sio size ya Putin kabisa ,Putin na wamarekani ndio wapo kwenye League Moja
 
Back
Top Bottom