Uturuki wametuma vifaru 20, na ndege 18 kukabiliana na Russia

Actually hivi hapo syria kuna hiyo land based S-400 imewekwa Hmeymim airbase na pia kuna ile S-300 seabased iko ndani ya moscva ile cruiser missile ship iliyopo karibu na latakia.

S-400 ni top tier air defence system na haina mshindani globally interms of capabilities.
Chukulia mfano US top airdefence system ambayo ni Terminal High Altitude Area Defence(THAAD),ina range ndogo kuliko s-400 na haiwezi kupiga target beyond the horizon na pia ni pure antiballistic kwa ajili ya kushootdown ballistic missile,tofauti na S-400 inayoweza kushootdown makombora na pia ndege,
pia S-400 ni fire and forget capability,means once ukishalock on target,you fire and forget kombora lenyewe lina homing device,so hata target iko beyond the horizon itapigwa tu,
system iko well protected agaisnt electronic warfare kwahiyo hata mashambulizi ya adui yaani suppression of Enemy Air Defence(SEAD) hayawezi kuijam.

Uwezekano wa system hii kuwa kuzidiwa na shambulio la makombora cheap kwa wingi ni suala la kusubiri na kuona,lakini system huwa inakuwa na intergrated system so overwhelming the system inakua next to impossible
nilikuwa nakudharau sana kuanzia i salute u
 
Urusi hawana lolote!,ndege zao vimeshindwa kutambua kama inatunguliwa?.
walikua ambushed,ndo maana uturuki hawakutumia rada guided missile kuitungua hiyo ndege,kwani ingewabidi kulock on target na hao warusi wangeshituka kwani wangeona katika rada kuwa kuna mtu lockon yaani anawatarget.

Waturuki walitumia sidewinder ambalo ni air to air heatseeking missile ambalo maranyingi hutumika ndege zinapopigana uso kwa uso na si over the horizon,makombora yanafuata heat signature toka katika injini ya ndege adui,ni rahisi kulikwepa kama unajua kuwa unashambuliwa,sasa wao nadhani hawakuwa na wazo kuwa wanaweza kushambuliwa
 
Acha vitisho wewe dogo panya road,Urusi hana lolote wala chochote kwa Ulaya wala NATO.
dogo we rudi shule ukasome naona hujui unongea nini, hata mtoto mdogo anajua Urusi hata USA anapiga breakhapo. Hebu nenda kamuliza Bush na Obama wakati Georgia na Ukraine wanapigwa USA walikuwa wapi ? NATO walikua wapi? Dogo Urusi akiamua kuiteketeza Turkey sio NATO wala USA watafanya kitu Russian ni moto wa kuotea mbali.
 
walikua ambushed,ndo maana uturuki hawakutumia rada guided missile kuitungua hiyo ndege,kwani ingewabidi kulock on target na hao warusi wangeshituka kwani wangeona katika rada kuwa kuna mtu lockon yaani anawatarget.

Waturuki walitumia sidewinder ambalo ni air to air heatseeking missile ambalo maranyingi hutumika ndege zinapopigana uso kwa uso na si over the horizon,makombora yanafuata heat signature toka katika injini ya ndege adui,ni rahisi kulikwepa kama unajua kuwa unashambuliwa,sasa wao nadhani hawakuwa na wazo kuwa wanaweza kushambuliwa

Mkuu imevavadua sana s 400 is the defence system in the world.ina cover eneo lote la syria,nusu ya israel nauturuki.ndo maana uturuki imesimamisha leo kurisha ndege zake syria.
 
Mkuu unazangumzia Aegis B.M.D.S ya Kimerikani au inaya hundwa kwenye sayari nyingine!!! Kama ni Defense System aina ya Aegis basi kwa taarifa yako ndege za Urusi ziliwahi kuzima system nzima remotely kwa takribani dakika ishirini mpaka wanamaji wa Kimerikani na Admiral wao wakachanganyikiwa - nurudia ilizimwa kama mshumaa,sasa nini kilifatia baada ya Merikani kushtukizwa na tukio hilo waliondosha meli yao fasta kutoka Black Sea hawakurudi tena! Actually baadhi ya wanamaji walio shuhudia kisanga hicho waliomba ku resign - je hiyo inakupa Picha gani kuhusu uwezo wa kijeshi wa Ivan the terrible?

Kumbuka Defence System hiyo ndio ilikuwa inapigiwa debe na MSM vile vile na jeshi la Merikani na Viwanda vya silaha,tangu wadhalalishwe na ndege mbili za Kirusi hawana hamu tena wapo busy waki tafakali what went wrong - poor Uncle SAM.

Mkuu hii habari sio ya kweli tena US NAVY waliipinga walitoa had vdeo na kuonyesha jins ilivyokua ukwel ni kwamba hyo system haikua diabled na tna wiki iliyofata tena US akapeleka tena warship blackSEa na mbna Russia haikufanya ktu zaid ya kurusha ndege zake za su-35 tyu
 
Mkuu hii habari sio ya kweli tena US NAVY waliipinga walitoa had vdeo na kuonyesha jins ilivyokua ukwel ni kwamba hyo system haikua diabled na tna wiki iliyofata tena US akapeleka tena warship blackSEa na mbna Russia haikufanya ktu zaid ya kurusha ndege zake za su-35 tyu

Mkuu Kokuyo hawa jamaa wamelewa propaganda za RT hawautaki ukweli,na hata hivyo Mimi nimeongelea kuhusu Aegis Missile Ballistic Defense System yeye anaongelea swala la Aegis Destroyers ambavyo ni vitu viwili tofauti. Hii Aegis Ballistic Missile Defense System kwa wakati huo ilikuwa bado haijaanza kutumika majini ilikuwa ni land based system,Obama ndio amekuwa akishinikiza hii system itumike majini ili kuepuka mlolongo mrefu wa Nchi husika kukubali hii System kuwekwa kwenye Nchi zao na mwaka huu ndio wameanza kutumia kwa Navy japokuwa U.S military planners wanapinga huu mpango wakisema kuwa hii system haitakuwa effective ukilinganisha na inapokuwa stationed ardhini.
 
Mkuu hii habari sio ya kweli tena US NAVY waliipinga walitoa had vdeo na kuonyesha jins ilivyokua ukwel ni kwamba hyo system haikua diabled na tna wiki iliyofata tena US akapeleka tena warship blackSEa na mbna Russia haikufanya ktu zaid ya kurusha ndege zake za su-35 tyu

Ulitaka wakubali.
 
Mkuu hii habari sio ya kweli tena US NAVY waliipinga walitoa had vdeo na kuonyesha jins ilivyokua ukwel ni kwamba hyo system haikua diabled na tna wiki iliyofata tena US akapeleka tena warship blackSEa na mbna Russia haikufanya ktu zaid ya kurusha ndege zake za su-35 tyu

Mkuu wewe unafikiri US NAVY wangesema nini? Kwani kulikuwa na haja gani ndege za Urusi kurudia zoezi hilo - walisha fikisha ujumbe kwa jeshi la Merikani wakawachia wajipime wenyewe.
 
Mbona jamani mnaongeza gharamaF22 ni figher air to air na B2 ni ya kibwaga mabomu sasa hizo kazi ya hizo zinamalizwa na F117 ambayo inabeba lawaza zote kwanza ni fighter pili ni bomber na tatu ni attacker mzuri kwa hiyo kama wakuu wanayabwaga hakuna aliyesalama
 
Aliyekuwa retired ni F117A nighthawk. F117N seahawk yupo mzigoni na F117B. Na tofauti ya hizo ni seahawk mziki wake ni mnene kuliko nighthawk, kuanzia ukubwa wa mashine ,usalama na mzigo inaoubeba.
A series mashine yake ni general electrical f404 na N series mashine yake ni gerenal electrical f414
Na wa kupewa pongezi ni col zoltan dan wa yugoslav aliyefanikiwa kuiangusha kwa bahati F117A baada ya pilot kuacha bomb bay door wazi na kuwa spotted na hivyo ilikuwa ishaingia 13km ilipo SAM. Huyu jamaa baada ya kuitungua aliwaita warus na wachina kuja kufanya kazi yao(1999). Hapo ikamaliza miaka 25 ya black project na hopeless diamond uchawi wake ukafunuliwa.
Nyingine ilipigwa but it returned to base na haikutumika tena.
Na kama hizo S350 zipo makini basi Baghdad isingechezewa vile coz ilisheheni hizo SAM lakini F117 famili zilifanya kama zinavyotaka. Baada ya kuangushwa kule yugo jamaa walikaa chini in tactical fighting hawakutaka kurudia makosa
Sasa tuone S400 itakuwa na uwezo gani ndani ya field
 
Mturuki amepeleka

vifaru kwenye Border na Syria hana nia ya kupigana na Urussi. Mturuki amepeleka Vifaru Border yake na Syria kwa nia ya

kuwapiga ISIL Sio kupigana na Urussi acheni maneno ya uongo hayo.Urussi hana nia ya kupigana Vita na Turkey ila Urussi

imeilalamikia Turkey imetunguwa ndege yake ingawa Turkey waliwapa onyo mara 10 lakini Wa Russi waliwazarau ndio

Turkey ilipo amuwa kuiangusha ndege ya kivita ya Ki-Russi. Kwa hiyo hakuna Vita kati ya Urussi na Turkey.

mzizim mkavu,naona unatetea kwa weledi unaogopa watakurudisha bongo
 
Hivi Channel gani itakayokua inaonyesha laivu hiyo vita?
Nataka nikalipie kifurushi mapema au hata kama kuna sehemu wanauza tiketi za kwenda kushuhudia basi tutonyane.

lumumba,wamepanga kuonyesha ili JPM ajifunze tofauti kati ya Iraq,turkey,russia na libya!.
 
Back
Top Bottom