Uturuki wametuma vifaru 20, na ndege 18 kukabiliana na Russia

unachosema kinawezekana ndio maana hizi silaha hazitengenezwi chache. unakuta Mrusi anazo hizi zana zaidi ya 50. zingine zinafichwa maana mambo ya kijeshi mostly ni siri kubwa. hizo fighter jets za mrusi SU 34 ambazo ni very deadly mrusi anazo zaidi ya 80 so mmarekani akirusha ndege mia kuja kushambulia urusi nae anaweza kurusha ndege 200 kwenda kupambana nazo juu kwa juu. vita ya mataifa makubwa ni mbaya sana usiombe itokee mana huwez kujua nani ni zaidi ya mwenzie
 
Hii kitu S400 nasikia ina deadly precision na ikishakamata target huwa haikosi lakini military analysts wengi niliowasikia wanasema F22 na B2 zinaweza kupita vizuri tuu kwenye hii defence na kufanya damage ya kutosha,i heard US wanasema even cheap cruise missile can overwhelm the system na kuifanya obsolete,imagine 100 cruise missile at once targeting S400 sijui kama inaweza kuzuia zote anyway sijui sana lakini Americans wanasema not a big deal kama wanataka kupiga target watapiga tuu lakini practically hakuna mtu anajua ukweli.

unachosema kinawezekana ndio maana hizi silaha hazitengenezwi chache. unakuta Mrusi anazo hizi zana zaidi ya 50. zingine zinafichwa maana mambo ya kijeshi mostly ni siri kubwa. hizo fighter jets za mrusi SU 34 ambazo ni very deadly mrusi anazo zaidi ya 80 so mmarekani akirusha ndege mia kuja kushambulia urusi nae anaweza kurusha ndege 200 kwenda kupambana nazo juu kwa juu. vita ya mataifa makubwa ni mbaya sana usiombe itokee mana huwez kujua nani ni zaidi ya mwenzie
 
mrusi hakurupuki lazima ajue chanzo Na kwanini Na nani chanzo . Na historia pia ya nchi husika ikoje Na urusi Na je uturuki inatumika kuchokoza Au la Na silaha walizo nazo ni aina gani Na uwezo wao kivita
 
mrusi hakurupuki lazima ajue chanzo Na kwanini Na nani chanzo . Na historia pia ya nchi husika ikoje Na urusi Na je uturuki inatumika kuchokoza Au la Na silaha walizo nazo ni aina gani Na uwezo wao kivita
Mimi nataka kujua msimamo wa uchina kwenye sekeseke hili
 
Kuna watu wengi humu wana discuss humu pasipo kuwa na historia nzuri ya Russia katika kipindi hiki cha utawala wa Putin.

Naomba nitoe mfano mdogo sana: US alipoanzisha vita kule Ukraine, alijua kwa kuundosha utawala wa Pro-Kremlin pale Kiev basi angekuwa amemaliza tatizo lakini namna Putin alivyo counter hiyo ishu US hadi Leo amebaki surprised. Russia alichofanya ni ku annex Crimea. Game over.

US akaleta habari za "economic sanctions". Russia aka respond kwa counter sanctions kwa EU na wakati huo huo ameimarisha viwanda vyake vya ndani na kuongeza ushirikiano wake na China (mafuta na Gas).

Sasa hivi uchumi na pesa ya Russia vipo stable. EU wanaanza kupiga kelele vikwazo dhidi ya Russia viondolewa kwa maana wanaona wamejipiga risasi miguuni.

Sasa hivi dependence ya Russia kwa EU & US imepungua sana. Kwa maana hiyo kwa wakati mfupi ujao EU & US watakuwa useless kwa Russia.

Russia amesha dump dollar na ameshaifanya Chinese Yuan kuwa national reserve currency. Mikataba yake ya Gas na mafuta anafanya kwa national currencies baina ya nchi husika. Dollarisation haina nafasi tena kwake.

Sasa kuhusu ishu ya Turkey ni swala la muda tu tutaona effects ya maamuzi ya Russia.
 
Actually hivi hapo syria kuna hiyo land based S-400 imewekwa Hmeymim airbase na pia kuna ile S-300 seabased iko ndani ya moscva ile cruiser missile ship iliyopo karibu na latakia.

S-400 ni top tier air defence system na haina mshindani globally interms of capabilities.
Chukulia mfano US top airdefence system ambayo ni Terminal High Altitude Area Defence(THAAD),ina range ndogo kuliko s-400 na haiwezi kupiga target beyond the horizon na pia ni pure antiballistic kwa ajili ya kushootdown ballistic missile,tofauti na S-400 inayoweza kushootdown makombora na pia ndege,
pia S-400 ni fire and forget capability,means once ukishalock on target,you fire and forget kombora lenyewe lina homing device,so hata target iko beyond the horizon itapigwa tu,
system iko well protected agaisnt electronic warfare kwahiyo hata mashambulizi ya adui yaani suppression of Enemy Air Defence(SEAD) hayawezi kuijam.

Uwezekano wa system hii kuwa kuzidiwa na shambulio la makombora cheap kwa wingi ni suala la kusubiri na kuona,lakini system huwa inakuwa na intergrated system so overwhelming the system inakua next to impossible

hivi haya mambo mnasomea wapi jamani mbona km mnatutisha hivi
 
Kuna watu wengi humu wana discuss humu pasipo kuwa na historia nzuri ya Russia katika kipindi hiki cha utawala wa Putin.

Naomba nitoe mfano mdogo sana: US alipoanzisha vita kule Ukraine, alijua kwa kuundosha utawala wa Pro-Kremlin pale Kiev basi angekuwa amemaliza tatizo lakini namna Putin alivyo counter hiyo ishu US hadi Leo amebaki surprised. Russia alichofanya ni ku annex Crimea. Game over.

US akaleta habari za "economic sanctions". Russia aka respond kwa counter sanctions kwa EU na wakati huo huo ameimarisha viwanda vyake vya ndani na kuongeza ushirikiano wake na China (mafuta na Gas).

Sasa hivi uchumi na pesa ya Russia vipo stable. EU wanaanza kupiga kelele vikwazo dhidi ya Russia viondolewa kwa maana wanaona wamejipiga risasi miguuni.

Sasa hivi dependence ya Russia kwa EU & US imepungua sana. Kwa maana hiyo kwa wakati mfupi ujao EU & US watakuwa useless kwa Russia.

Russia amesha dump dollar na ameshaifanya Chinese Yuan kuwa national reserve currency. Mikataba yake ya Gas na mafuta anafanya kwa national currencies baina ya nchi husika. Dollarisation haina nafasi tena kwake.

Sasa kuhusu ishu ya Turkey ni swala la muda tu tutaona effects ya maamuzi ya Russia.

Mkuu umenena 100% ya ukwer
Kifupi ni kwamba mmarekani hakatizi kwenye interest za murusi.
Inshu kubwa hapa ni kumaliza nguvu za uchumi za murusi. Walipga plan wakaona ili kufanikisha hili basi Ukraine ijiunge na EU murusi akashitukia mchezo ikabd iichukue cremia maana bomba lake la gesi linapita cremia kwenda EU So wakafeli .
Palani ilibidi ihamie Syria Assad atoke ili waweze kujenga bomba la gesi kutoka Qatar na ili wastumie gesi ya urusi so ili kutimiza hilo inabid Assad atoke murusi nae kaingia anasema Assad hatoki.
Putin ni super minder mtapanga hiki anapangua. Tusubri hili la Syria litaishaje ila hili ni zito kuzid la cremia.
 
Kuna watu wengi humu wana discuss humu pasipo kuwa na historia nzuri ya Russia katika kipindi hiki cha utawala wa Putin.

Naomba nitoe mfano mdogo sana: US alipoanzisha vita kule Ukraine, alijua kwa kuundosha utawala wa Pro-Kremlin pale Kiev basi angekuwa amemaliza tatizo lakini namna Putin alivyo counter hiyo ishu US hadi Leo amebaki surprised. Russia alichofanya ni ku annex Crimea. Game over.

US akaleta habari za "economic sanctions". Russia aka respond kwa counter sanctions kwa EU na wakati huo huo ameimarisha viwanda vyake vya ndani na kuongeza ushirikiano wake na China (mafuta na Gas).

Sasa hivi uchumi na pesa ya Russia vipo stable. EU wanaanza kupiga kelele vikwazo dhidi ya Russia viondolewa kwa maana wanaona wamejipiga risasi miguuni.

Sasa hivi dependence ya Russia kwa EU & US imepungua sana. Kwa maana hiyo kwa wakati mfupi ujao EU & US watakuwa useless kwa Russia.

Russia amesha dump dollar na ameshaifanya Chinese Yuan kuwa national reserve currency. Mikataba yake ya Gas na mafuta anafanya kwa national currencies baina ya nchi husika. Dollarisation haina nafasi tena kwake.

Sasa kuhusu ishu ya Turkey ni swala la muda tu tutaona effects ya maamuzi ya Russia.

Mkuu umenena 100% ya ukwer
Kifupi ni kwamba mmarekani hakatizi kwenye interest za murusi.
Inshu kubwa hapa ni kumaliza nguvu za uchumi za murusi. Walipga plan wakaona ili kufanikisha hili basi Ukraine ijiunge na EU murusi akashitukia mchezo ikabd iichukue cremia maana bomba lake la gesi linapita cremia kwenda EU So wakafeli .
Palani ilibidi ihamie Syria Assad atoke ili waweze kujenga bomba la gesi kutoka Qatar na ili wastumie gesi ya urusi so ili kutimiza hilo inabid Assad atoke murusi nae kaingia anasema Assad hatoki.
Putin ni super minder mtapanga hiki anapangua. Tusubri hili la Syria litaishaje ila hili ni zito kuzid la cremia.
 
Mkuu umenena 100% ya ukwer
Kifupi ni kwamba mmarekani hakatizi kwenye interest za murusi.
Inshu kubwa hapa ni kumaliza nguvu za uchumi za murusi. Walipga plan wakaona ili kufanikisha hili basi Ukraine ijiunge na EU murusi akashitukia mchezo ikabd iichukue cremia maana bomba lake la gesi linapita cremia kwenda EU So wakafeli .
Palani ilibidi ihamie Syria Assad atoke ili waweze kujenga bomba la gesi kutoka Qatar na ili wastumie gesi ya urusi so ili kutimiza hilo inabid Assad atoke murusi nae kaingia anasema Assad hatoki.
Putin ni super minder mtapanga hiki anapangua. Tusubri hili la Syria litaishaje ila hili ni zito kuzid la cremia.


Mkuu hii game imeshaisha S-400 tayari hipo in service. Kwa hiyo kuna no flying zone.

Hakuna cha ndege za US and allies kumletea shida tena Assad.
 
Urusi akiigusa Turkey atapigwa na NATO na kumbuka NATO na marekani wana makubaliano ya kulindana. Hapo siioni Urusi ikifutukuta
 
Mkuu hii game imeshaisha S-400 tayari hipo in service. Kwa hiyo kuna no flying zone.

Hakuna cha ndege za US and allies kumletea shida tena Assad.

Mkuu ule mkutano wao wa juzi Obama na wenzake waliaminisha dunia kuwa Assad lazima aondoke. So wakifeli itakuwa ni zalau na aibu kubwa sana usoni mwa dunia.
 
Mwaka ujao USA wakipata rais kutoka Republican lazima alianzishe tena. Nina wasiwasi sana na Donald Trump. Anatamani sana vita.
 
unachosema kinawezekana ndio maana hizi silaha hazitengenezwi chache. unakuta Mrusi anazo hizi zana zaidi ya 50. zingine zinafichwa maana mambo ya kijeshi mostly ni siri kubwa. hizo fighter jets za mrusi SU 34 ambazo ni very deadly mrusi anazo zaidi ya 80 so mmarekani akirusha ndege mia kuja kushambulia urusi nae anaweza kurusha ndege 200 kwenda kupambana nazo juu kwa juu. vita ya mataifa makubwa ni mbaya sana usiombe itokee mana huwez kujua nani ni zaidi ya mwenzie

mkuu una uzoefu utazani ulikuwepo WWII
 
Urusi akiigusa Turkey atapigwa na NATO na kumbuka NATO na marekani wana makubaliano ya kulindana. Hapo siioni Urusi ikifutukuta
sijui kwanini watu wazito kuelewa,vita kati ya NATO na Russia maana yake ni kuwa biashara imeishia hapo,
vita hiyo haitakua conventional war,itakuwa ni nuclear war,kila mtu kumuwahi mwenzake kabla hajawahiwa,
hakutakua na matumizi ya ndege,mizinga wala vifaru,na vita itachukua kati ya nusu saa na saa moja tu na habari itakuwa imeishia hapo
 
Hitler mwenyew alisema kam ikitokea siku akaitawal urusi,basi atakuw kaitawala dunia nzima.na kweli alipotak kuitimiz ndot yak na ndio ikawa mwisho wake
 
hivi haya mambo mnasomea wapi jamani mbona km mnatutisha hivi
ndugu MCDAD kama wewe unashinda kwenye ma-group ya whatsapp ya umea umbea wenzio wanachimba sasa hivi elimu ni rahisi sana sema tabia ya kusoma hatuna kazi prorojo tu za whatsapp na facebook diamond kato awimbo mpya wema kanunua chupi sijui kidot kafanya hivi unadhani ishu kama hizi utazijua lini!?
 
Back
Top Bottom