JOSE KASANO
Senior Member
- Apr 23, 2013
- 122
- 95
Kwa watumishi wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi, mfumo wa utumishi portal kipengele cha kubadilishana kituo, kilikuwa kinasumbua hasa sehemu za kuingiza mkoa na wilaya zimefungukiliwa.Kwa hiyo watumishi wenye uhitaji wa kubadilishana vituo vya kazi,jazeni mkakutanishwe na wenzenu.