Utumbuaji wafanyakazi 10000 kumzamisha Magufuli 2020

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,641
6,694
Jana ilishuhudiwa utumbuaji mkubwa na wa kihistoria kwa wafanyakazi wa umma waliofoji vyeti vya taaluma zao hapa nchini na haikuwahi kutokea toka nchi hii ianze

Utumbuaji huo ulifanywa na Rais Magufuli hivyo kupeleka simanzi masikitiko na huzuni kwa watanzania wengi wa hali za chini ambao vipato vyao vinategemea ujira huo tu

Ukweli mchungu, utumbuaji huu lazima utamzamisha Magufuli ifikapo Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020

Waathirika wa utumbuaji huu ni watanzania, na watanzania ndio wapiga kura za ndio kwa rais hivyo hawatakubali waendelee kuumizwa kama hivi rais alivyowafanyia sasa

Lazima watanzania warudishe kisasi kwa Magufuli!

Magufuli na CCM 2020 msimtafute mchawi atakayewakwamisha, mmeshajichimbia kaburi wenyewe na kiama chenu kimefika mwisho 2020

Poleni sana wahanga wa vyeti feki wote
 
Jana ilishuhudiwa utumbuaji mkubwa na wa kihistoria kwa wafanyakazi wa umma waliofoji vyeti vya taaluma zao hapa nchini na haikuwahi kutokea toka nchi hii ianze

Utumbuaji huo ulifanywa na Rais Magufuli hivyo kupeleka simanzi masikitiko na huzuni kwa watanzania wengi wa hali za chini ambao vipato vyao vinategemea ujira huo tu

Ukweli mchungu, utumbuaji huu lazima utamzamisha Magufuli ifikapo Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020

Waathirika wa utumbuaji huu ni watanzania, na watanzania ndio wapiga kura za ndio kwa rais hivyo hawatakubali waendelee kuumizwa kama hivi rais alivyowafanyia sasa

Lazima watanzania warudishe kisasi kwa Magufuli!

Magufuli na CCM 2020 msimtafute mchawi atakayewakwamisha, mmeshajichimbia kaburi wenyewe na kiama chenu kimefika mwisho 2020

Poleni sana wahanga wa vyeti feki wote
Ni kweli mangi, inabidi agenda yetu kwa sasa iwe TUKISHIKA DOLA HAO WENYE VYETI FEKI WOTE WATARUDISHWA MAKAZINI, Popooooz
 
Nayo hii inatoka kwa great thinker au?? Bas toa hzo kura 20000 za mume na mke waliopita kwenye panga hilo... Halaf tuzitoe pale kwenye milion nane tuangalie atabaki na ngapi...

Tatizo mnadhan anawakomoa watanzania,au labda yy hajui kua kuna uchaguz mwez 2020,,nakuhakikishia atapata kura nying kuliko mwanzo na mtalalamika tena hatumtambui na tumeibiwa kura.. ...

Ili suruali au gauni likamilike lazima kitambaa kikatwe katwe vipande ..
 
Jana ilishuhudiwa utumbuaji mkubwa na wa kihistoria kwa wafanyakazi wa umma waliofoji vyeti vya taaluma zao hapa nchini na haikuwahi kutokea toka nchi hii ianze

Utumbuaji huo ulifanywa na Rais Magufuli hivyo kupeleka simanzi masikitiko na huzuni kwa watanzania wengi wa hali za chini ambao vipato vyao vinategemea ujira huo tu

Ukweli mchungu, utumbuaji huu lazima utamzamisha Magufuli ifikapo Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020

Waathirika wa utumbuaji huu ni watanzania, na watanzania ndio wapiga kura za ndio kwa rais hivyo hawatakubali waendelee kuumizwa kama hivi rais alivyowafanyia sasa

Lazima watanzania warudishe kisasi kwa Magufuli!

Magufuli na CCM 2020 msimtafute mchawi atakayewakwamisha, mmeshajichimbia kaburi wenyewe na kiama chenu kimefika mwisho 2020

Poleni sana wahanga wa vyeti feki wote

Hizo ni fikira za kinyumbuz....!!
 
Ni kweli mangi, inabidi agenda yetu kwa sasa iwe TUKISHIKA DOLA HAO WENYE VYETI FEKI WOTE WATARUDISHWA MAKAZINI, Popooooz


Kweli hawa wana wa Adam kwa sasa hawana pa kushika. Wanatetea hadi waharifu!!!!!

Na nguvu ya viloba itakuwa hawana mwilini sijui watafanyaje 2020
 
Haki ingetendeka endapo wangepatiwa nafasi za uteuzi kwakua hazihitaji vyeti maana kwakiasi fulani wamechangia kusukuma gurudum la maendeleo ktk nchi yetu
 
Mkuu Una Akili Sana Ukiendelea Na Tafiti zako kama Hizi Itabidi Utunukiwe Shahada Ya Uzamivu Mirembe
 
Tuwe wakweli tu. Hata kama akitimua watumishi wote wa Umma bado ataingia Ikulu tena.Lazima amalize miaka yake 10.
 
Nayo hii inatoka kwa great thinker au?? Bas toa hzo kura 20000 za mume na mke waliopita kwenye panga hilo... Halaf tuzitoe pale kwenye milion nane tuangalie atabaki na ngapi...

Tatizo mnadhan anawakomoa watanzania,au labda yy hajui kua kuna uchaguz mwez 2020,,nakuhakikishia atapata kura nying kuliko mwanzo na mtalalamika tena hatumtambui na tumeibiwa kura.. ...

Ili suruali au gauni likamilike lazima kitambaa kikatwe katwe vipande ..


Safi sana
 
Jana ilishuhudiwa utumbuaji mkubwa na wa kihistoria kwa wafanyakazi wa umma waliofoji vyeti vya taaluma zao hapa nchini na haikuwahi kutokea toka nchi hii ianze

Utumbuaji huo ulifanywa na Rais Magufuli hivyo kupeleka simanzi masikitiko na huzuni kwa watanzania wengi wa hali za chini ambao vipato vyao vinategemea ujira huo tu

Ukweli mchungu, utumbuaji huu lazima utamzamisha Magufuli ifikapo Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020

Waathirika wa utumbuaji huu ni watanzania, na watanzania ndio wapiga kura za ndio kwa rais hivyo hawatakubali waendelee kuumizwa kama hivi rais alivyowafanyia sasa

Lazima watanzania warudishe kisasi kwa Magufuli!

Magufuli na CCM 2020 msimtafute mchawi atakayewakwamisha, mmeshajichimbia kaburi wenyewe na kiama chenu kimefika mwisho 2020

Poleni sana wahanga wa vyeti feki wote


Eti nawe unafamilia inakutegemea kwa upuuzi huu!!
 
Back
Top Bottom