Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.