Utulivu bungeni

Utulivu bungeni

Mbogo-1

Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
64
Reaction score
3
Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.
 
Kwa wanaofuatilia mijadala Bungeni watakubaliana na mimi kuwa tangu wale Wabunge wenye vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyostahili kuwa kwa kujadili masuala yenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyokuwa na tija
 
Kwa wanaofuatilia Mijadala
ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu
waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea
Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge
kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba
miongozo isiyo na tija.

umenena mkuu, nakupa like
 
Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.

Mkuu Mbogo-1 angalia kauli hizi kama mfano tu.

Siongei na mbwa (mbunge) naogea na mwenye mbwa (kiti cha spika) - mbunge ccm

wagunge wanamimba zisizotarajiwa - mbunge ccm

Camooon ---- you - mbunge ccm

Slaa anafanya mikutano na viongozi wa kidin na cdm ni wapuuzi sana - mbunge ccm

bajeti ya wapinzani kutupiliwa chini - mbunge ccm

Ni baadhi tu ya kauli hatarishi za kuudhi na kupelekea vurugu bungeni, tafakali angalia chanzo (source) sio matokeo

(outcomes) be smart in your presantation.
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kabisa, pia nimemsikiliza mh. mbowe ameongea vizuri sana..wale waliotimuliwa ni wahuni
 
Wamebaki wenye akili ndogo wenye akili kubwa hawapo.wemebaki wazee wa matusi na kusinzia na kupiga meza.
 
Mkuu Mbogo-1 angalia kauli hizi kama mfano tu.

Siongei na mbwa (mbunge) naogea na mwenye mbwa (kiti cha spika) - mbunge ccm

wagunge wanamimba zisizotarajiwa - mbunge ccm

Camooon ---- you - mbunge ccm

Slaa anafanya mikutano na viongozi wa kidin na cdm ni wapuuzi sana - mbunge ccm

bajeti ya wapinzani kutupiliwa chini - mbunge ccm

Ni baadhi tu ya kauli hatarishi za kuudhi na kupelekea vurugu bungeni, tafakali angalia chanzo (source) sio matokeo

(outcomes) be smart in your presantation.

umeacha hizi

serikali ni maha...ni..th.......mbunge chadema
....waziri mpumbavu.....mbunge chadema
rais ni mdini.........mbunge chadema
 
umeacha hizi

serikali ni maha...ni..th.......mbunge chadema
....waziri mpumbavu.....mbunge chadema
rais ni mdini.........mbunge chadema

Hakusema hivyo bali alitumia neno la Kiingereza impotent akimaanisha dhaifu. Tuangalie context ndipo tutajua alimaanisha nini. Kwa hiyo Mhe. Wenje hajatukana.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
huyu jamaa afatilie mabunge ya nchi zinazopiga hatua kama kama kenya bunge lao ni la aman au laa, kiufup ni kwamba chadema pia wana mawazo mazur kabisa lakin awapew nafas kwa7bu tu ni wapinzan.
 
Ngoja niende kwenye mkutano wa Mbeya maccm akili hayana
 
Me nitaangalia hotuba yap msigwa wakati wa wizara ya maliasili na lema wakati wa hotuba ya mambo ya ndani
 
Hakusema hivyo bali alitumia neno la Kiingereza impotent akimaanisha dhaifu. Tuangalie context ndipo tutajua alimaanisha nini. Kwa hiyo Mhe. Wenje hajatukana.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

mkuu awa wanatumia english concise dictionary,uku uwa wanapewa tafsiri laymen waweze kuelewa,msomi ukimwambia impotent akimbilii kuwaza uzinzi.
 
Kwa wanaofuatilia Mijadala ya Bunge watakubaliana na mimi kwamba tangu Wabunge wapenda vurugu waliposimamishwa kushiriki Vikao vya Bunge,hali ya utulivu imerejea Bungeni.Hivi ndivyo Bunge letu linavyotakiwa kuendeshwa kwa Wabunge kujenga hoja zenye manufaa kwa Wananchi na siyo kila siku kuomba miongozo isiyo na tija.


But is that a DEMOCRACY? Kuomba Mwongozo Unafukuzwa BUNGENI... UKITUKANA MATUSI... Unapigiwa Makofi na kuendelea kupokea hizo PerDem... Double Standards... Is it Fair??? or Favoritism!!!
 
Back
Top Bottom