Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,238
Hatimaye mwisho wa CCM umefika rasmi, Hongereni Watanzania kwa dua zenu, tunawashukuru kwa kukesha na kuomba kwa miaka mingi, Mungu wenu ni mwaminifu sana, Amejibu maombi yenu japo ni kwa kuchelewa sana, aliwapa muda maadui zenu ili wajisahihishe wakauchezea, sasa ameamua mazima.
TUKITEGEMEA POLISI TUTASHINDWA, TENA TUTASHINDWA KWELI KWELI - KIKWETE