Me dingi wangu kutwa ni kujisifia eti alifaulu peke yake kijiji kizima na baada yake ilichukua miaka mingi mwanafunzi mwingine kwenda sekondari. Na pia eti shule ilikuwa kilometa kumi na tano toka kijijini na hakukuwa na sekondari jirani, yaaaani kutwa ni kujisifia!!!!!
Hao kina misifa maisha yao hoi bin taban Oh mi nilisoma na waziri fulani usimuone hiv darasan alikuwa akinitazamia, anaongea hayo wkt ananinginia kwenye matatu surual ina viraka saba lkn ****** yanaonekana kila kiraka kinauliza wee mwenzangu kakuweka mwaka gani manake mimi nina karne hapa lkn kati yangu na wewe cjui katangulia nani naanza kupoteza network
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.