Tetesi: UTT-AMIS

Tetesi: UTT-AMIS

MKuu serikali ikiamua,hata hivyo vihela vyako ulivyoweka nmb watachukua na huna cha kufanya,halafu muelewe UTT hawatunzi pesa ya mtu,wao wakichukua hyo pesa yako,wanaenda kuwekeza maeneo mbali mbali,ikiwemo kwenye mabenki kwenye account maalumu za riba,wanaweka hela kwenye bond za serikali na pia wanaweka kwenye Hisa..

Ile faida ikipatikana,ndo unalipwa wewe sasa.
Ila kwa mambo yalipofikia....imani imekua chini sana
 
Tarehe 26, nliuza vipande vyenye thamani ya 1m kwenye account ya umoja fund mpaka leo tarehe 03 hawajanipa hela, naona process inachukua mda sana, yani mtu ukiwa na dharura ya ghafla utt sio ya kuitegemea


Updates:

Hii hela iliingia kwa wakati changamoto ilikua ni bank iliyopokea hela sikupata notification kwa haraka, nlikuja kujua baadaye sana
 
Kuna hii taarifa mpya kwenye portal yao wanaboresha huduma kupitia app mpya
 

Attachments

  • IMG-20251215-WA0000.jpg
    IMG-20251215-WA0000.jpg
    62.4 KB · Views: 5
Back
Top Bottom