Utofauti wa upinzani wa Dr. Slaa na Lowassa ni huu

kanone

JF-Expert Member
Oct 10, 2013
6,188
1,576
Natumia nukuu hizi zilizotolewa katika vipindi mbali mbali na wapinzani,JK nchi imemshinda imejaa wezi na wala rushwa na wazembe ,kuleana na kutokuchukuliana hatua,imejaa muchakato isiyo na tija kwa masikini.
Hizo ndo kauli za upinzani wa chini ya Dr Slaa.

Wa Lowassa sasa,
Wezi wasikilizwe kwanza, wazembe wanaoomba rushwa kufanya operation za wagonjwa wasikilizwe na wasichukuliwe hatua.

Kwa mtu mwenye akili timamu unajua uvundo huu unaowasumbua UKAWA ni matokeo ya oil chafu ya CCM inayowaongoza.

JPM piga kazi, achana nao.
 
Lowasa ni baba wa sanaa! alikuwa na strategy yake ameifanya na ameikamilisha. hana teeena presha. wajinga ndio waliwao. watu wamekalia upinzani upinzani, eti twende ikulu. mtu akiuliza mnataka kwenda kufanya nini , mtajibuje?
 
NATUMIA NUKUU HIZI ZILIZOTOLEWA KATIKA VIPINDI MBALI MBALI NA WAPINZANI,JK NCHI IMEMSHINDA IMEJAA WEZI NA WALA RUSHWA NA WAZEMBE ,KULEANA NA KUTOKUCHUKULIANA HATUA,IMEJAA MUCHAKATO ISIYO NA TIJA KWA MASINI
HIZO NDO KAURI ZA UPINZANI WA CHINI YA DR SLAA
WA LOWASA SASA
WEZI WASIKILIZWE KWANZA WAZEMBE WANAOMBA RUSHWA KUFANYA OPERATION ZA WAGOJWA WSIKILIZWE NA WASICHUKULIWE HATUA,
KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU UNAJUA UVUNDO HUU UNAOWASUMBUA UKAWA NI MATOKEO YA OIL CHAFU YA CCM INAYOWAONGOZA,
JPM PIGA KAZI ACHANA NAO,
MUCHAKATO?Uhamiaji ina kuhusu!
 
Lowasa ni baba wa sanaa! alikuwa na strategy yake ameifanya na ameikamilisha. hana teeena presha. wajinga ndio waliwao. watu wamekalia upinzani upinzani, eti twende ikulu. mtu akiuliza mnataka kwenda kufanya nini , mtajibuje?
Aya tumeona post yako kimbia haraka sana ukachukue buku zako 7 lumumba
 
Lowassa ndio tatizo la Tanzania kuendelea
Huyu mtu akiacha siasa na kuchunga ng'ombe upuzi huu utakuwa ndio mwisho
 
NATUMIA NUKUU HIZI ZILIZOTOLEWA KATIKA VIPINDI MBALI MBALI NA WAPINZANI,JK NCHI IMEMSHINDA IMEJAA WEZI NA WALA RUSHWA NA WAZEMBE ,KULEANA NA KUTOKUCHUKULIANA HATUA,IMEJAA MUCHAKATO ISIYO NA TIJA KWA MASINI
HIZO NDO KAURI ZA UPINZANI WA CHINI YA DR SLAA
WA LOWASA SASA
WEZI WASIKILIZWE KWANZA WAZEMBE WANAOMBA RUSHWA KUFANYA OPERATION ZA WAGOJWA WSIKILIZWE NA WASICHUKULIWE HATUA,
KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU UNAJUA UVUNDO HUU UNAOWASUMBUA UKAWA NI MATOKEO YA OIL CHAFU YA CCM INAYOWAONGOZA,
JPM PIGA KAZI ACHANA NAO,
Wewe Umekariri Akili za Nape na January makamba huna unachokijua ni bora uendelee kuwalia pesa kisha ukae kimya, Hivi Dr Slaa angekuwa na hekima na busara angekubali kurubuniwa na CCM akawasariti chadema? Hicho kibabu kwanza kilichukua mke wa mtu hakina Uadilifu hata kidogo ngoja kimalize pesa huko ulaya kitarudi Tanzania na kujiunga na ccm.
 
Lowassa ndio tatizo la Tanzania kuendelea
Huyu mtu akiacha siasa na kuchunga ng'ombe upuzi huu utakuwa ndio mwisho
Wewe Lugumi mbona umeshiba pesa mpaka sasa umesahau kuwa Escrow, kivuko feki, mabehewa chakavu, chenji ya Rada na bunge la katiba vimeliwa na boss wako lakini sasa umejitoa fahamu unamwita mtakatifu .
 
Alikwiba nini? Maana mnamuita mtu fisadi bila kuweka wazi alichokiiba, kama ni RICHMOND, ile hoja ilishapanguliwa siku nyingi!
Richmond ni ya Kikwete tu, Lowasa hana alichoiba pesa zake kazipata kupitia misaada mbalimbali na utajiri wake wa Asili.
 
Richmond ni ya Kikwete tu, Lowasa hana alichoiba pesa zake kazipata kupitia misaada mbalimbali na utajiri wake wa Asili.
Wewe lofa lowasa aliiba tangu akiwa mkurungezi wa ICC ,jizi ilo Arusha limeiba adi eneo LA jeshi jambazi tu ilo
 
NATUMIA NUKUU HIZI ZILIZOTOLEWA KATIKA VIPINDI MBALI MBALI NA WAPINZANI,JK NCHI IMEMSHINDA IMEJAA WEZI NA WALA RUSHWA NA WAZEMBE ,KULEANA NA KUTOKUCHUKULIANA HATUA,IMEJAA MUCHAKATO ISIYO NA TIJA KWA MASINI
HIZO NDO KAURI ZA UPINZANI WA CHINI YA DR SLAA
WA LOWASA SASA
WEZI WASIKILIZWE KWANZA WAZEMBE WANAOMBA RUSHWA KUFANYA OPERATION ZA WAGOJWA WSIKILIZWE NA WASICHUKULIWE HATUA,
KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU UNAJUA UVUNDO HUU UNAOWASUMBUA UKAWA NI MATOKEO YA OIL CHAFU YA CCM INAYOWAONGOZA,
JPM PIGA KAZI ACHANA NAO,
Nilitegemea ungelinganisha utendaji wa Dk.Mashinji(Katibu mkuu mpya) na Dk.Slaa(Katibu Mkuu aliyejiuzulu).
Kumuhusisha LOWASSA kwenye mijadala kama hii ni kukosa upeo, hata hivyo LOWASSA ni mwanachama wa kawaida wa CHADEMA, kama nilivyo mimi!
 
Back
Top Bottom