-------,yaani dada yako ndio wa kumpa mwigulu,kwanini usiende wewe ukampe?yaani ninavyokupenda mwigulu ni hapo tuu..ww ni mkweli sana..ningekuwa na dada ningekupaa..asante kamadaaaa
Hivi Chadema mnawasomesha watoto wa huyo mwanajeshi wenu feki mlimvisha sare za jeshi. Au mmemtelekeza kama Ludo kijana wa Lwakatare.
Nataka kujua utaratibu wa kujiunga na jeshi la Chadema ninatakiwa niwe na sifa gani kambi zitakuwa ngapi na bajeti ya makambi ya kijeshi ni kiasi gani na fungu la pesa linatoka wapi.
yaani ninavyokupenda mwigulu ni hapo tuu..ww ni mkweli sana..ningekuwa na dada ningekupaa..asante kamadaaaa