namnaowafanya watoe mimba ni pressure zenu nyie kuwa hamko tayari kuwa baba ndo mana wanakuwa hawana jinsiWanapotoa mimba, mara nyingi huwa hawafikirii mbele kutatokea nini!
Mnasahau kuwa shinikizo la kutoa linatoka kwenu mara nyingi au linatoakana na nyie kukana hzo mimbaMganga wao kipofu!
mkuu MM hiii ni true story au ni ubunifu wako wa utunzi wa kila siku???