Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,875
halafu chanjo unawapa asubuhi saa wana kiu sana amka usiku flani toa vyombo yote vya maji wakae muda ili ukija kuweka maji wanywe woteone lv umetisha upo wap ww
halafu chanjo unawapa asubuhi saa wana kiu sana amka usiku flani toa vyombo yote vya maji wakae muda ili ukija kuweka maji wanywe woteone lv umetisha upo wap ww
halafu chanjo unawapa asubuhi saa wana kiu sana amka usiku flani toa vyombo yote vya maji wakae muda ili ukija kuweka maji wanywe wote
karibun tujukwamue kutoka ktk umaskinhalafu chanjo unawapa asubuhi saa wana kiu sana amka usiku flani toa vyombo yote vya maji wakae muda ili ukija kuweka maji wanywe wote
UPO WAPI TUJE TUISHI WOTE?
nipo mswa mkoani simiyu karibuUPO WAPI TUJE TUISHI WOTE?
maswanipo mswa mkoani simiyu karibu
UKO MBALI UNGEKUWA DAR NINGEHAMIAnipo mswa mkoani simiyu karibu
hahaha ujilal hatami wakat natoka dar nilikua nahs naenda mbali na cdhan kama nitaweza ishi nje ya dar ila kwasasa nimepakubal na nafanya vitu hatar so ucogope life popote kikubwa kujitambua na tr7 nitakua dar anaeitaj mayai ya kanga yaliona uhakika wa kupata vifaranga tuwasiliane 0717209059UKO MBALI UNGEKUWA DAR NINGEHAMIA
Gumboro haina DAWA mkuu.,ni viral disease., severely affected will die regardless of the amount of sugar/glucose you give.less severely affected may recover as long as the body immunity withstands the viral challenge .sugar /glucose is used as supportive therapy plus some antibiotics to take care of secondary infections /magonjwa nyemelezi .its like Ebola patient .,no treatment will cure the patient rather than giving the shit some supportive therapy .ni kweli mkuu tiba ya gumboro huwa tunawapa sukari unakoroga sukari nyingi kwelikweli ukiwapa kuku wanapona .sio kwamba gumboro haitibiki
mimi nilifundishwa na mzee mmoja akaniambia ukiona kipindi kuna upepo sana usinunue kuku,kwani kipindi hicho magonjwa ndio huamaWakuu nataka kununua kuku wakubwa 50. Je naweza kuwapaje chanjo? Naweza kuichanganya au niwaachie muda chanjo moja baada ya nyingine na ni muda gani? Nizingatie chanjo zipi hasa? Ninapotaka kununulia nataka wapate chanjo hapo hapo ndio niwasafirishe. Msaada tafadhali.
Mimi nilipawa nanasi bila kudhamiri lakini ndani ya muda mfupi kuku warejea na afya nzuri mpaka sasa,nimeamua kutoa jaribio hilo ili jamii nayo ifanyie utafiti zaidi hususa kwa taasisi za kimaabara zaidiGumboro haina DAWA mkuu.,ni viral disease., severely affected will die regardless of the amount of sugar/glucose you give.less severely affected may recover as long as the body immunity withstands the viral challenge .sugar /glucose is used as supportive therapy plus some antibiotics to take care of secondary infections /magonjwa nyemelezi .its like Ebola patient .,no treatment will cure the patient rather than giving the shit some supportive therapy .
Thanks.
ndui mbona haimo kwenye ratiba yako ???HII NI RATIBA YA CHANJO NA DAWA
SIKU YA 7.
vifaranga wapatiwe chanjo ya NEWCASTLE (KIDELI).chanjo hii huchanganywa na maji safi katika eneo lenye kivuli kasha kupewa vifaranga kwa muda wa masaa mawili kisha toa maji hayo na kuyamwaga mbali na eneo ambalo kuku wengine
wanaweza kuyafikia,au kuyachimbia.baada ya hapo vifaranga wapewe maji yenye vitamin
SIKU YA 14.
Wapewe chanjo ya GUMBORO(IBD).chanjo hii pia huchanganywa katika maji na kupewe vifaranga kwa muda wa masaa mawili tu.baada ya hapo vifaranga wepewe vitamin.
Siku ya 21.(wiki ya tatu)
Rudia chanjo ya Newcastle
SIKU 28(mwezi)
Rudia chanjo ya GUMBORO IBD
UKO MBALI UNGEKUWA DAR NINGEHAMIA
maji ya mvua sio mazuri iwapo yatahifadhiwa katika vyombo vya plastic. pengine uhifadhipo chukua mchanga haswa,mweupe ila mzuri zaidi ni mchanga ya Pozolana wa miamba {unaeza upata sehemu wamechimba choo ule wa chini kabisa unasafisha maji vizuri zaidi}ndui mbona haimo kwenye ratiba yako ???
pia niongezee chemsha maji kama ni ya bomba ili kuua nguvu ya chloride ile wanaweka kusafishia maji au tumia maji ya mvua au mto ila yawe masafi!!
kuwa specific kuna chanjo kibao na zote ni muhimuChanjo ipi nzuri kwa kuku?
Vp mkuu chanjo ya ndui haipo kweny list yakoHII NI RATIBA YA CHANJO NA DAWA
SIKU YA 7.
vifaranga wapatiwe chanjo ya NEWCASTLE (KIDELI).chanjo hii huchanganywa na maji safi katika eneo lenye kivuli kasha kupewa vifaranga kwa muda wa masaa mawili kisha toa maji hayo na kuyamwaga mbali na eneo ambalo kuku wengine
wanaweza kuyafikia,au kuyachimbia.baada ya hapo vifaranga wapewe maji yenye vitamin
SIKU YA 14.
Wapewe chanjo ya GUMBORO(IBD).chanjo hii pia huchanganywa katika maji na kupewe vifaranga kwa muda wa masaa mawili tu.baada ya hapo vifaranga wepewe vitamin.
Siku ya 21.(wiki ya tatu)
Rudia chanjo ya Newcastle
SIKU 28(mwezi)
Rudia chanjo ya GUMBORO IBD