kamonga
Senior Member
- Feb 13, 2008
- 170
- 33
nina furaha kuwajulisha wadau wenzangu hapa Jf kua ule mti ( mugariga) babu anaotaja kutumia ktk tiba yake akiambatanisha na maombi ulishafanyiwa utafiti huko kenya miaka ya nyuma kwa kule hautwi jina hilo!!! ila sifa zake na uoto wake na matumizi unaonesha ukaribu sana na huu mugariga.(angalia publication attached)then discussion ianze!! nawasilisha