UTEUZI: Rais Magufuli amteua Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

mkutano.jpg
 
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa Mh.Rais Magufuli ,kwani huo uteuzi hakuangalia itikadi za chama ila kalitizama taifa kwanza.Pia hongera mkuu wa mkoa mpya
 
Magufuli hapendi sana siasa kwasababu siasa ndiyo chanzo cha machafuko nchi nyingi za Africa na viongozi kujificha humo huku wakiwaibia wanainchi rasilimali zao na kurudisha nyuma maendeleo ya nchi.

RC mpya Kilimanjaro amejikita sana ktk maboresho ya Huduma za jamii Si siasa za ushindani na misuguano.hapendi siasa za misimamo mikali.

Ina maana huyo JPM anapoongea huwa hatumsikii au huwa unamsikia ww tu?
 
mama hongera sana kasimamie vizuri ilani yetu ya chama cha mapinduzi (CCM). Nina imani kuwa nia ya mh; Rais ni kuleta maendeleo sio vingnevyo itikadi na tofauti zingine tuweke pembeni Maana ujue wakuu wa mikoa ndio wasimamizi wakuu wa ilani ya chama chetu ngazi ya mkoa. Hivyo weka pemeni itikadi, falsafa na imani ya chama chama chako ACT-WAZALENDO piga kazi tu
 
Naomba angekuwa anafanya hivyo kwa kila anayejiudhuru...akijiudhuru mtu...yeye ateue upinzani aweke pale...alafu kazi iendelee
 
Actually haya ndo mambo niliyokuwa nayawaza kwamba tukishamaliza uchaguzi mkuu, itikadi za vyama tuweke pembeni na tujenge nchi.. Kuna watu wazuri sana tena wazuri sana wako vyama vya upinzani na wanaweza kufanya kazi nzuri sana wakipewa nafasi. hapa mkuu wa nchi ange-engineer mabadiliko ya katiba na ikamuelekeza kuchagua waziri ama kiongozi yoyote mwandamizi wa serikali kutoka popote as longer as an-fit hapo.. hapo nchi itasonga mbele...
 
Hiyo safi lakini alisema atafanya kazi na upinzani hats si mfefu atamteua lipumba kuwa mshauri Wa uchumi na mbowe atakuwa mkuu Wa itifaki magogoni na lema mshauri wa ambo ya usalama,hapo rais akikamilisha itakuwa nchi imeenda vizuri bila kusahau na Edo kuwa mshauri mkuu Wa mambo ya kisiasa na uchumi magogoni,vyeo vipo vingi sana!
 
Hawa CCM Kanda ya kaskazini imewashinda kabisa, sasa wameamua kuwakabidhi wapinzani wajiongoze wenyewe. Nafikiri atafanya hivyo na Arusha ili hii iwe zone ya mfano kwa maendeleo, demokrasia na utawala wa sheria. Hongera mama yetu, mambo ya kuwekana ndani bila mantiki, kusigana na madiwani na Meya nk naona yamepata dawa. Hongera wana Moshi Mungu amewaona.
 
Zitto kwishaaaaaaaa,aitishe uchaguzi sasa
Ule usemi wa "if u cant bit them...." inaweza kutumika sasa. Ni muda wa kurudi chana kilichokukuza kisiasa, its never too late na hakuna dhambi isiyo na msamaha likewise hakuna mwanadamu msafi wote tu wadhambi. Time to use 2nd option.
 
Wekeni akiba ya maneno wanachadema, teuzi hazijaisha na sioni wakukataa kuteuliwa ndani ya chama chochote kile.
 
Haaa haaaa haaa lemutuz si angejenga min bar ofisi ya mkuu wa mkoa akaanza na kuinvite bebez kutoka chuo cha ushirika kila siku ingekuwa parii in the house you know what l say
Siku nikisikia huyo mtu kuteuliwa nitaandamana haki yamungu
 
Kama huyo mama ni mtanzania,haina shida. Yeye apige kazi tu. Tusisahau uteuzi wa Mrema Lyatonga. Pia Jk kumteua Mbatia kuwa mbunge mwk ule.
 
nmeamini leo sifa ya kuwa mkuu wa mkoa ni kusoma na kuandika tu .mengine tupa kule.le mutuz atalia sana leo maana best yake alishamuhakikishia hii nafasi
Tonge limemponyoka mdomoni, dingi yake nasikia kamuharibia kwa mwenyechama, eti baba na ntoto hawaelewani, na dogo alishaanza kumlingishia babae kuwa tayari ninamiliki mkoa, na tambo nyinginezo kwa mademu zake.......
 
Back
Top Bottom