Utenguzi RC Makonda kwa uamuzi wa DC Sofia Mjema Umebebwa na "Ulokole"

Hawa sio wanafiki wao wanafanya kweupe, walokole mnajifanya kondoo kumbe mbwa mwitu.
Yule aliyekuwa anazunguka nchi nzima, i mean huko katavi na sumbawanga kwenye ziara yake mkutano unafunguiwa na wazee wa GAMBOSH NI MLOKOLE AMA ILE DINI YA MJI MKUU WA ITALIA?

Maji marefu alikuwa mlokole?
Mzindakaya naye mlokole?
Jiwe anazungua na ma-gambosh , naye mlokole?
 
Haki ya Mungu ni pamoja na kuzaliwa, kuishi na kufa. Au wewe mwanzangu utaishi miaka mingapi? Hata muziki iliopitiza sauti ni kero kwa taarifa yako. Hivi aliekuambia Mungu anataka kusifiwa nani? Na lazima iwe sauti kubwa. You must be sick.
Answer: The book of Psalms is the praise book of the Bible, and it gives us hundreds of reasons why praise is important, as well as examples of how to give praise to God. In examining those reasons and examples, one thing becomes clear. “It is good to praise the LORD and make music to your name, O Most High...” (Psalm 92:1). Praise is a good thing. That means it is pleasant, valuable, and morally excellent. Psalm 147:1 tells us that praise is beautiful and agreeable.

When we consider the reasons why we should praise God, we find a list of His attributes. He is full of glory (Psalm 138:5), great (Psalm 145:3), wise and powerful (Daniel 2:20), good (Psalm 107:8), merciful and faithful (Psalm 89:1), and much more. This list of attributes is complemented by a list of His wonderful works. He is the One who saves us (Psalm 18:46), keeps His promises (1 Kings 8:56), pardons sin (Psalm 103:1-3), and gives us our daily food (Psalm 136:25). To try to list all the things God has done is impossible, but it is a wonderful exercise because it turns our hearts back to Him and keeps us mindful of how much we owe to Him.

Psalm 148:1-10 tells us that all of creation is commanded to give praise to God. When Jesus was entering Jerusalem on Palm Sunday, great crowds gathered and offered Him their praises. The Pharisees wanted Him to rebuke the people, but Jesus answered, “I tell you that, if these should hold their peace, the stones would immediately cry out” (Luke 19:40 KJV). Though there are many people who choose not to praise God right now, there is coming a day in which every knee will bow and every tongue will confess the praises of God (Philippians 2:10-11). Some will joyfully give those praises because of the salvation they have received, while some will give those praises as conquered enemies headed for eternal punishment for their rejection of God.

Praise is a vital part of a life surrendered to God, and it gives credit where credit is due. “O that men would praise the Lord for his goodness, and for his wonderful works to the children of men!” (Psalm 107:8 KJV).
 
Acha jazba za kilokole soma vizuri bandiko langu wapi nimemsapoti Sofia au nimesema kuzuia ibadi ni poa. We unaelekea kabla hujsokoka ulikuwa mchawi wewe.
Acha udini,,kwa andiko lako hili WEWE ni full mdini,,ibada ni siku yoyote na saa yoyote, huwezi mpangia Raia,,Makonda kafanya sawa kabisa, Sofia alikurupuka. Wewe ni mdini mnooo me...z
 
Unauelewa gani juu ya Roho mtakatifu, ungelikuwa na uelewa basi ungelijua kwanini Yesu alimwambia yule mama wa kisimaria pale kisimani " Watu watamwabudu Mungu kwa Roho na Kweli kwasababu Mungu ni Roho" sasa sijui hata kama unajua Roho na Nafsi yako ya Kweli, ungeliijua usingelishabikia makelele.
watu wanataka makanisa yapelekweke industrial areas, alafu misikiti ibaki kwenye makazi.

WATU WANA CHUKI BINAFSI NA YESU NA ROHO MTAKATIFU
 
Sophia Mjema ana kitu anakiitafuta kwa Walokole hawajui vizuri.Na maombi yao ndio.yameamusha mapepo yake yaliyokuwa yamejificha kujidhihirisha hadharani.

Sophia Mjema toka apewe ukuu wa wilaya alikuwa mtu POA Sana na hakuwa na kashfa Sasa naona kajiingiza anga za kidini huko hatoki salama .Makonda kaeleza wazi kuwa hizo dini Zina mambo mengi ikiwemo ya usalama nk yeye ajipeleke tu kichwa kichwa atatolewa na kutupwa nje ya system mchana kweupe jua linawaka na asije kubweka humu kuwa kaonewa kayataka mwenyrwe na ujuaji wake wa kijinga
Haaaaaahaaaaa huyu nae,mm hata mjikusanye nchi nzima muombeeeee hakuna lolote litakalonitokea nilishawahi kuwa na bifu na watu dizaini hiyo wakajifanya wananishtakia kwa mungu baba wao huu mwaka wa ngapi sijui maisha yanaendelea walipiga kelele hadi wakaamua tu waniache!
 
Acha vitisho, kwani umesikia Mungu ni wa walokole tuu. Soma maada uelewe, mimi nilitishwa mbona sijafa. Ulokole hampi mtu yryote haki ya kukera wengine kwani mkijifungia na kusali kimwa bila spika Mungu hatasikia sala zenu au mnafanya Mungu kuwa kiziwi? Hasikii mpaka kwa spika. Kila mtu ana haki ya kuishi na kuamini dini aitakayo.
Haaaaaahaaaaa kwa mikwara haooooo ila ukiwajua tu hawasumbui!
 
Haaaaaahaaaaa huyu nae,mm hata mjikusanye nchi nzima muombeeeee hakuna lolote litakalonitokea nilishawahi kuwa na bifu na watu dizaini hiyo wakajifanya wananishtakia kwa mungu baba wao huu mwaka wa ngapi sijui maisha yanaendelea walipiga kelele hadi wakaamua tu waniache!
Nakupa siku 14:kamili kuanzia saa sita usiku Leo ndani ya hizi siku Bila kuongeza Wala kupunguza utamjua Mungu wa Walokole Ni Nani hao uliokuwa na bifu nao walikuwa wakiomba Yesu Mwanakondoo wa Mungu mimi namwomba Yesu Simba wa Yuda.Utamjua Simba wa Yuda Ni nani
 
Nani kakurupuka wewe kutoelewa bandiko la au RC asiyejua kuwa makanisa yanskiwa kufuata utaratibu maalumu.
 
Nakupa siku 14:kamili kuanzia saa sita usiku Leo ndani ya hizi siku Bila kuongeza Wala kupunguza utamjua Mungu wa Walokole Ni Nani hao uliokuwa na bifu nao walikuwa wakiomba Yesu Mwanakondoo wa Mungu mimi namwomba Yesu Simba wa Yuda.Utamjua Simba wa Yuda Ni nani
Mkuu unaweza kuniambia faida ya dini kwa nchi za Afrika tangu zilipoletwa na wazungu na waarabu?

Kwakweli binafsi naamini dini zimechangia kwa kiasi kikubwa kutugawa na kuturudisha nguma kimaendeleo...!

NOTE: mimi ni mkatoliki
 
Wewe fara kama walipata kibali mbona niliwashinda kesi. Somavkwanza uelewe. Mimi ni mkristo kama wewe ila sio mkurupukaji kama wewe. Kwenye mwili utaokokaje?
Kwanza Uzi wako umeonesha chuki dhidi ya walokole. Pole sana mkuu. Labda ulikuwa hujui suala la kuhubiri mtaani ukolalamikia wanalazimisha watu wawasikilize hata kama hutaki. Ni hivi kibali cha kufunga hizo spika na kupiga kelele mtaani wamepewa na wanaemhubiri yaani Yesu mwenyewe soma Kitabu cha Marko sura ya mwisho kuanzia mstari wa 15. Kifupi hawahitaji kibali cha mwanadamu awae yeyote kwakuwa hawafanyi kazi ya mwanadamu. Pia ukisoma utakutana na maagizo kwamba" Enenden ulimwenguni kote mkaihubiri injiri kwa kila kiumbe" kumbe hakuna eneo wanalozuiwa na binadamu yeyote na injiri sio kwa ajili yako tu. Biblia inasema kwa kila kiumbe kwahiyo kama wewe hutaki kisiki vipo viumbe vingine vinataka. Waache wafanye kazi yao. Mbona mabaa yapo kilakona na yanakesha kwa muziki mkubwa hauleti Uzi wa kulalamika? Uyo binti DC ni kiburi cha uzima tu kama chako ndo kilimfanya atoe maagizo ya kijinga namna hiyo. Siku mkishikwa na mapepo mtawatafuta hao wapiga kelele Mungu awasamehe wewe na DC
 
Huyo dada hata kwa muone kano tu, nikimsogelea nikatamka Yesu lazima mapepo yalipuke
 
Walokole ni kero kubwa na makelele yao!

Huyo yesu wao huwa hasikii mpaka watupayukie namna hii!???

Dini zingine hizi ujinga mtupu!

Eti wanafukuza mapepo! Mapepo gani bwana!
 
watu wanataka makanisa yapelekweke industrial areas, alafu misikiti ibaki kwenye makazi.

WATU WANA CHUKI BINAFSI NA YESU NA ROHO MTAKATIFU
Kuhusu sala
(Luka 11:2-4)
5 “Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. 6 Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
7 “Mnaposali, msipayuke maneno kama watu wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno mengi.
8 Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba. 9 Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali:
 
Back
Top Bottom