Wakuu Mtu wa Kwanza Huku Arusha aliye tuma Sample ijumaa iliyo pita, Amepata majibu yake na katika Chakula chake kuna vitu ameambiwa aongze kidogo ili kufiukia kiwango kinacho takiwa kwa ajili ya kuku na Vifaranga, amenipigia simu kunitaarifu hili,
Ila kwa kifupi ni lazima anaye tak na aliyeko siriai atume sample hapa hakuna cha Maujanja kwa sababu Zle composition zinatofautiona that is why, mfano, Mahindi my be ya Rukwa yanaweza yasiwe na protein sawa na mahindi ya Dodoma, ivyo hivyo kwa soya, Matama, na kazalika so ni lazima upeleke sample kwa kutumia hizo anuani,