cmases
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 1,766
- 1,425
Acha unyumbu, mangapi yamepelekwa huko na hakuna progress yoyote??Hayo unayajua wewe na Wazandiki wenzako. Peleka ushahidi mahakamani kafungue kesi.
Pathetic swine!
Acha unyumbu, mangapi yamepelekwa huko na hakuna progress yoyote??Hayo unayajua wewe na Wazandiki wenzako. Peleka ushahidi mahakamani kafungue kesi.
Pathetic swine!
Safi sana. Jogoo lishawika Chimwaga..........malizia.Sawa mkuuu ndio huyooo mkuu ila uwezoo wakoo ni wa lumumba
Bonobo chimp katika ubora wako. Na kesi ya mauaji ya mbwa mmeshafungua!?Acha unyumbu, mangapi yamepelekwa huko na hakuna progress yoyote??
Dabo Roja.Njaa mbaya
Ova
Nyumbu katika ubora wako, tukashitaki wapi???Bonobo chimp katika ubora wako. Na kesi ya mauaji ya mbwa mmeshafungua!?
Silly season continuesWadau,
Wanafunzi zaidi ya 400 kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameamua kujiunga na CCM baada ya kuridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa Rais Magufuli. Wanafunzi hao walifanya maamuzi hayo katika mkutano wa ndani uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Kibangu Ubungo.
Wamesema pia kuwa wapo wanafunzi wengi wanaotarajia kujiunga na CCM kwani wanaamini kuwa ndiyo chama pekee chenye kupigania na kutetea maslahi ya wanyonge nchini.
Duh.....iko kaziNyumbu katika ubora wako, tukashitaki wapi???
Kwani hivi sasa kuna members wangapi ? Yaliyobaki ni Makapi tuimagine upinzani wote unajiunga huko pamoja na TL. yaani KUB inabakia na member 0 in number
Nilikuwa kikaoni twaweza kuonana ghorifa ya nne vhumba namba 106 tufahamiane maana naona nidhamu yako ipo juu sana hadi kuwaita baba zako mawifi! Nina dk 20 tu usikawie tuonane tafadhali ili ujue kama natishia au laMuulize huyo wifi yako mkuu. Maana amening'ang'ania kuanzia jana. Nimejitahidi kumueleza maana ya hilo neno Swine (Unpleasant person) yeye ameshikilia kwamba nimemuita poki na kunipa vitisho.
NITAKUTAFUTA. Wewe huwezi kuwa baba yangu swine (unpleasant person) wewe. Wewe una adabu kwa kunitukania wazazi wangu!? Tutafahamiana hapo tutakapoonana. Hii ni JF....nilikuita wifi kwa gubu ulilokuwa nalo. Kwa sababu mwanaume hawezi kuwa na tabia uliyo nayo. Tutafahamiana hapo hapo sehemu yako ya kazi. Halafu uone kama utaweza kufanya lolote unayotamba hapa. Eti chumba namba 106! Pathetic.Nilikuwa kikaoni twaweza kuonana ghorifa ya nne vhumba namba 106 tufahamiane maana naona nidhamu yako ipo juu sana hadi kuwaita baba zako mawifi! Nina dk 20 tu usikawie tuonane tafadhali ili ujue kama natishia au la
Wangejiunga vyama vingine wangewekwa ndani kwanza na kisha kufukuzwa chuoniWadau,
Wanafunzi zaidi ya 400 kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameamua kujiunga na CCM baada ya kuridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa Rais Magufuli. Wanafunzi hao walifanya maamuzi hayo katika mkutano wa ndani uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Kibangu Ubungo.
Wamesema pia kuwa wapo wanafunzi wengi wanaotarajia kujiunga na CCM kwani wanaamini kuwa ndiyo chama pekee chenye kupigania na kutetea maslahi ya wanyonge nchini.
Wadau,
Wanafunzi zaidi ya 400 kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wameamua kujiunga na CCM baada ya kuridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa Rais Magufuli. Wanafunzi hao walifanya maamuzi hayo katika mkutano wa ndani uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Kibangu Ubungo.
Wamesema pia kuwa wapo wanafunzi wengi wanaotarajia kujiunga na CCM kwani wanaamini kuwa ndiyo chama pekee chenye kupigania na kutetea maslahi ya wanyonge nchini.