Utendaji mbovu wa security JNIA

nashukuru na wewe kwa maelezo yako na lugha ya uungwana, sasa kwa kifupi hao askari walikuwa na busara au walitenda haki kwa suala la huyo ndugu aliyekuwa na unga wa ugali au? maana kumlazimisha mtu kula unga ni kama kumzalilisha na kutumia madaraka vibaya ingekuwa ni ugali wenyewe ni ngewaelewa au chakula kinacholika. na zaidi ya hapo kumewekwa njia za kisasa cha kugundua kitu kibaya mfano unga/drugs kuna mbwa kama na kama walizani ni sumu au chemical yoyote basi weka kwenye check in luggage sije kuitumia vibaya
 

......Kuna ukweli mwingi sana kwenye hiyo quote..........wapuuzi sana wale jamaa......Watanzania HATUJUI MISINGI CUSTOMER CARE/SERVICE....yaani tupo tupo tu......werevu wamo wapumbavu wamo......basi ili mradi siku inaendelea....

Kuna umuhimu wa kuazisha mtaala wa customer care/service kwenye shule/vyuo vyetu.............
 

hapo nilipoweka kolezo nimegundua uwezo wako ni mdogo sana aidha kwa makusudi au kutoelewa labda unatuletea falsafa za arts.Tangu lini acid au kemikali za viwandani zikajaribiwa ka taste(Ulimi), mimi kwa chemistry nilosoma hakuna hata siku moja ukatumika utaratibu unaotudanganya hapa.Kuna vipimo kama Ph test,kuna litmus paper na vitu vingine.
 
Yakuongea na bosi wao ni mambo ya ulaya..huku unaweza kujibiwa hayupo na ukaendelea kuchezeshwa rumba.

Mkuu ni kweli kabisaaa,ila endapo wanajuwa unajuwa unachoongea sidhani kama watakuzingua hata kidogo na ukionyesha msimamo mbona hawazingui.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mkuu,

Nashukuru sana kwa kutambua kuwa uelewa wangu ni mdogo,nachoweza kukwambia tu ni kwamba,airport hawafanyi majaribio ya kutest acid kama unavyodhani,kinachofanyika ni kumfanya abiria athibitishe uhalali wa kile alichokibeba.bahati mbaya hakuna lab airport na hata kama ingekuwepo huo muda wa kutest vitu hivyo kama unavyofikiria usingekuwepo.

Falsafa ya airport iko hivi:
Mtu yeyote yule kabla ya kupita kwenye ukaguzi ni gaidi, anakuwa sio gaidi baada ya kukaguliwa na kuonekana yuko safi,hapo anakuwa abiria. Kama wewe ni mtumiaji wa usafiri wa anga nadhani unajua hali unayokuwa nayo unapokuwa angani, imagine uko futi 28000 au 35000 juu ya usawa wa bahari unatoka Dar unaenda Mwanza, mara yule jamaa unayemgongea mke wake akanyanyuka kwenye kiti chake akaja ulipokaa na kukuosha kwa tindikali. Unategemea utakuwa katikahali gani?

Nadhani kama huyu bwana angeambiwa aonje kidogo kimiminika alichobeba ilhali akijua ni tindikali hawezi kabisa kujaribu kuinywa, kwa kufanya hivyo ina maana asingeruhusiwa aidha kusafiri au kusafiri nayo. Hii ingekuokoa wewe, usalama wa abiria wenzako, ingeokoa muda kwani lazima mtafute sehemu ya dharura mtue ili upate matibabu etc etc.

Tambua kuwa kila kitu kinaweza kusafiri kwa ndege, iwe silaha, milipuko, tindikali etc etc lakini kwa utaratibu maalum.

MWISHO KABISA NAPENDA KUKWAMBIA KWAMBA, WITH SECURITY SOMETIMES YOU RUN OUT OF OPTIONS,YOU HAVE TO DO WHAT HAS TO BE DONE
 

Naam nami nina concern inayoendana na hiyo...siku moja nlikua naenda nje kikazi baada ya kuchekiwa pale eti wakaanza kuniambia kwa siku saba unazoenda kikazi mbona begi lako ni dogo..mi nikawauliza kwani dunia nzima si inauzwa nguo au kwani nahama...hapa nikaendelea kujiuliza hivi hii nchi yetu tunafanya mambo kama tuko sayari ya mars au ni global standards!
 
Mkuu, training hapa kwetu ni ndogo sana. Watu wanapewa majukumu lakini kwa sababu corruption imewatawala wanaogopa hata kuuliza maswali pale ambapo hawajaelewa wajibu wao, wakiogopa kuwa labda wakiuliza maswali wanaweza wakanyanganywa ukanda.
 
=> First....ur not well familiar with AIRPORT SECURITY alerts.....or....that they screen everything.....

=> Usilete au kuongelea busara..au...uungwana kwa kigezo cha kutafuta sympathy ya watu hapa.....kuonyesha SECURITY WAMEKOSEA....and ur right....na kuapply past events kwamba mbona drugs
zilikuwa zinapita walikuwa wapi....!!!?? Siku...uongozi..vifaa....security sensitivity vyote VIMEBADILIKA.....

=> Kama ww ni mwelewa....WAKIKUSHUKU ...*suspect* hatua ya kwanza coz airport hakuna muda....ni KUTOA
USHIRIKIANO MKUBWA KWAO....hiyo ndio hatua kubwa...na UKIWA MKAIDI AU MBISHANI....unazidi kuongeza suspicions zaidi juu yako.....kumbuka hata drug dealers wanapita airport wako kama ww kwa kila kitu...sio wana kitu yofauti ukamwona.....NA WANA MBINU NYINGI MNO MNO....HATA HUO UNGA WAKO
UNAWEZA KUTA KATIKATI UMEWEKA DRUGS....who knows.....

=> Finally....hapa si mahali sahihi pa ku complains..unless unatafuta sympathy tu ya watu
ufurahi moyoni....BUT MM HAPA SIJAONA KABISA TATIZO LA SECURITY.....HIVI UKIAMBIWA UMEZE UNGA NANI UNGA KIJIKO KIMOJA....UNAKATAA NINI....??? KAMA UNA UHAKIKA WHY UNALETA ZAIDI MaSHAKA....?? TATIZO UNA ULEWA MDOGO MNO NA
SECURITY MEASURES ZA SEHEMU SENSITIVE KAMA AIRPORT ...hasa kwa nyakati hizi.....
...umesema unasafiri mbali...BUT U FAILED KABISA KUJUA/ kuonyesha uelewa JINSI HATA AIRPORTS ZA NJE walivyo na ukaguzi mkali mno....au Sababu ni
NYUMBANI UNA DEKA DEKA TU....mtoto kwa mama hakui....but huo muda hamna tena.....

=> kwa kisa chako HAKUNA UTENDAJI MBOVU HATA KIDOGO.....INSTEAD NI MSAFIRI MBOVU meaning ww...at JNIA mwenye uelewa mdogo kwa kisa hiki....who failed hata kujua security ikoje tena UMEBEBA UNGA....wengine wangekagua hadi katikati umeweka
nini.....una deka sana ww....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…