Tanwise
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 466
- 1,040
Muajiri ni mtu muhimu wa kuajiri right candidates kwenye interview. Lakini TANESCO ni majanga na waonezi, kuna ajira kama vile STE;TEMPORARY(day waka) na PERMANENT(ajira ya kudumu) Employment. Unakuta mtu ana vigezo vya kuwa permanent lakini anapewa temporary na anaweza fanya kazi kwa bidii sana mwisho wa siku wakitaka kuajiri permanent anakula shavu mtu mwingine kabisa. HII SI SAWA!