Utekelezaji umeanza,

Utekelezaji umeanza,

Serikali haina logic katika haya mambo wangesema mwanaume afungwe mpaka mwanamke atimize miaka kumi na nane
 
Kesi si mpaka apate mimba kama vingnevyo hlo jambo linatatulika jaman
 
Mkuu kama ni salama, unaweza mbadili hiyo nafasi
🙄🙄🙄

Utamu wa dakika chache utampa shida ya miaka 30, hapo kabla hajafika police tayali ashahukumiwa
Alitaka kumuiga Joseversest kwa 'be the first to reply' yani alitaka yeye ndio awe wa kwanza kulila tunda... Sasa matatizo yake ndio haya... By the way, unapocheza na risky asset kama hii, kwa nini usitumie ndom?
 
Lakini haya matoto yetu ya kike yana Nye.ge za kijinga kweli!! sasa mwanamme kama huyo pichani kwenye "siredi" hata nywele hajachana, sijui ni rasi sijui uharo gani!! hapo utakuta ni mchoma siidiii tuu!!
 
Mvua 30 kwani amempa mimba huyo mtoto?..Au hata ku sex nae ni mvua 30?
 
Hapo hatafungwa hiyo miaka mnayodhani nyinyi maana hajabaka wala kutia mimba labda Hakimu aamue kumkomoa tu
 
Lakini haya matoto yetu ya kike yana Nye.ge za kijinga kweli!! sasa mwanamme kama huyo pichani kwenye "siredi" hata nywele hajachana, sijui ni rasi sijui uharo gani!! hapo utakuta ni mchoma siidiii tuu!!
Apo unamuona mshkaj mbovu, ngoja apigilie vyuma vimekaza mbona hata wewe utajipeleka mwenyewe
 
Back
Top Bottom