Utawasikia wanasema binadamu wote ni sawa. Ni uongo!

Utawasikia wanasema binadamu wote ni sawa. Ni uongo!

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,436
Reaction score
3,558
Maisha Yana siri na siri hiyo ndio maisha yenyewe.

Kuna watu wamekazana kusema binadamu wote ni sawa, sijui wanajifariji na umasikini wao ama vipi? Labda kama wanamaanisha ni sawa katika maumbile ya kibinadamu, lakini si katika uwezo wa kuyamiliki maisha.
Kuna watu wanakula maisha na kuna wale tunao liwa na maisha.

Mimi natembelea Raum, lakini kuna dogo anamiliki Cadillac ya mwaka 2024 na magari mengine ya bei mbaya.
Kuna watu hulipia watoto wao ada shule ya msingi 21M-60M+ kwa mwaka, halafu kuna wale watoto wetu wanasoma shule ya msingi Nachingwea, wakiwa na kidumu cha maji na mfagio mkononi.

Mimi nimepanga kwa Mzee Komba, nyumba rangi inabanduka ukigusa ukuta umechafuka, lakini kuna watu wanaishi kwenye nyumba ambazo kuta zimepigwa mawe ya Tanga kama siyo tiles za kisasa. Binadamu wote ni sawa au siooo? Wacha tujifariji.

Kuna watu wanamiliki minjengo ya mabilioni kwa pesa zao wenyewe, halafu kuna bwana mwalimu Selemani amejenga kakibanda kake ka 40M kwa mkopo kutoka NMB na ana vimba noma.

Nina kafeni ka Aliyons kananengua kiuno usiku kucha na bado ninasweat ile mbaya, halafu kuna wale wanaoishi kwenye nyumba zenye kiyoyozi full-time na wanajifunika mablanketi ya kutengeneza joto kwa umeme.

Kuna wana zizi la ng’ombe limewekwa kiyoyozi na ceiling fan, chini pamepigwa tiles maalum na kuna wafanyakazi wakusafisha banda kuondoa kinyesi kila ng’ombe anapojisaidia ili asichafuke. Sasa nadhani yatosha kusema kati ya anayeishi kwenye kageto ka 25k na makolokolo yote humo na huyo ng’ombe, ng’ombe amejulikana.

Kuna watu wameajiriwa, wanasubiri wastaafu wapewe kiinua mgongo ambacho ni 40M-1B, na kuna watu huingiza hiyo pesa kwa siku, wiki, au mwezi.

Maisha hayajawahi kuwa sawa, na binadamu hawajawahi kuwa sawa except katika uumbaji tu.
Unakutana na demu kapiga makeup ya bundi 5 na joto la Dar hata unyunyu wa 25k umemshinda; anakujiremba kote lakini anatema kikwapa ile mbaya. Halafu kuna demu akikatiza kwako hana makeup ila anavutia, ananukia vizuri. (Kuna wanaoweka unyunyu lakini bado wanatema.)

Kuna watu wakienda hospitali kutibiwa, bili ikitoka 100k wanalalama kama king’ora cha ambulance iliyobeba mgonjwa mahututi. Halafu kuna wale matibabu yao bili ni 10M na analipa cash bila zengwe; yaani wanaranda na begi la minoti hospitalini, ilhali wale wa kwa Mtogole pesa ipo kwenye akaunti ya Tigo Pesa.

Binadamu hatujawahi kuwa sawa na haitatokea tukawa sawa. Huu usemi ni manipulation za kuwafariji masikini tu. Mtu anatumia simu ya 8-20M na anazo kama tano, halafu kuna Ashura pale kwa Tegeta kwa Ndevu anachombo cha mawasiliano Infinix Hot 10 kaivalisha cover la kamdoli kapusi na ananata noma. (Anyway mtu chake bwana.)

Kuna watu wanakufa na kuna watu wanafariki. Kuna watu wanazikwa na kuna watu wanafukiwa. (Elewa hii dhana.) Kuna watu wanafariki si kwa kukosa matibabu, bali kwa sababu tatizo lake madaktari waligonga mwamba katika kila kona za dunia. Halafu kuna watu wanakufa kwa malaria au septicemia ambayo matibabu yake ni 20k tu.

Yamkini binadamu hatujawahi kuwa sawa, na haiji kutokea. Kila mmoja apambane amiliki pesa kwa namna yoyote ile. Kikubwa uwe nazo lakini usimwage damu. Pambana.

Kuna watu wakiumwa watoto wao wanawapeleka hospitali za bei mbaya si kwa sababu wameshindwa kuzimudu gharama. Lahasha, wanajisikia fahari kuwahudumia maana pesa ipo kwa kila mtu wa damu yao. Halafu kuna sisi, wazazi wetu wanatutegemea kwa kila kitu na hatumudu.

Tujitahidi kutengeneza mfumo wa kuingiza pesa kwa vizazi vyote. Mfumo usio kufa ili tuache kujifariji kishamba. Binadamu hatujawahi kuwa sawa na haiji kuwa hivyo.
 
Hata interns of basic needs hatupo sawa,hebu tuanze kujadili basic needs,kisha tuoanshe na economics,human we are some how equal basing on away the supernatural being created us and nothing more.
TUlifundishwa Food ,Shelter and Clothes regardless of quality lakini wote tunahitaji hivyo vitu ingawa mimi nitakula mihogo ya kuchemsha au ndizi bokoboko kisha kushushia maji ya kwenye mto tunayoshare na ng'ombe ,kuvaa malonya lonya sagula sagula ya tandale/manzese/karume kisha kulala kwenye kajumba cha tembe kitanda mkeka au godoro la nchi mbili kama ulimi.
 
Kuna umri ukifikia automatically ndio unajua kuwa binadamu wote ni sawa ukiondoa mihemko ya kibinadamu vinavyo chochewa na ujana unagundua kuwa mwanadamu haitaji vitu maishani mwake bali vichache sana......ndio maana matajiri nyakati za utu uzima na wachache vijana wakiingiwa na ubinadamu wanatoa sana misaada kwa wasiojiweza........
 
TUlifundishwa Food ,Shelter and Clothes regardless of quality lakini wote tunahitaji hivyo vitu ingawa mimi nitakula mihogo ya kuchemsha au ndizi bokoboko kisha kushushia maji ya kwenye mto tunayoshare na ng'ombe ,kuvaa malonya lonya sagula sagula ya tandale/manzese/karume kisha kulala kwenye kajumba cha tembe kitanda mkeka au godoro la nchi mbili kama ulimi.
Well said ukisoma vizuri nilichoandika utagundua kwamba nilicho andika kimajikita kutafsiri utofauti wa watu kwa kuzingatia mahitaji,muhimu,whence hatupo sawa unaishi kwenye nyumba ya tofauti Za kuchoma wakati mwenzako anaishi kwenye jumba tofari zameundwa kwa aggregates,how you can compare with him in term of shelter?
 
Hata interns of basic needs hatupo sawa,hebu tuanze kujadili basic needs,kisha tuoanshe na economics,human we are some how equal basing on away the supernatural being created us and nothing more.
Maana yàke wote tunakula, tunavaa, tunalala, tunakufa.
Tofauti ni kwamba wewe unàkula kwato za kuku mimi nakula mnofu wa kitimoto! Ila wote tumekula. Huu ndo usawa unaozungumziwa.
 
Binadamu ni sawa kimaisha Ila wanatofautiana katika kuishi .

Mfano hapo umezungumzia material things sana kitu ambacho hakileti utafauti .

Maisha huwa yapo vile vile tangu binadamu awepo Ila kinachobadilika ni vitu tu mfano simu , TV n.k

Na jiulize swali -zamani watu waliishije na tazama life span yao .

Binadamu wote ni sawa this is fact materials things haiwezi kuwatofautisha binadamu na wala sio kujifariji .

Ukiwa umetoka katika umasikini au ukiwa bado masikini akili inakuaga sio open .

Kikubwa work hard kuwa na basic need zako zote then ishi
 
Maisha Yana siri na siri hiyo ndio maisha yenyewe.

Kuna watu wamekazana kusema binadamu wote ni sawa,sijui wanajifariji na umasikini wao ama vipi?,labda kama wanamaanisha ni sawa katika Maumbile ya kibinadamu lakini si katika uwezo wa kuyamiliki maisha.

Kuna watu wanakula maisha na kuna wale tunao liwa na maisha.
Mimi na tembelea Raum lakini kuna dogo anamiliki Cardilac ya mwaka 2024,na nadinga nyingine Za bei mbaya.

Kuna watu hulipia watoto wao ada shule ya msingi 21M-60M+ Per annum halafu kuna wale watoto wetu wanasoma shule ya msingi Nachingwea ,kidumu cha maji na mfagio mkononi.

Mimi nimepanga kwa Mzee komba nyumba rangi inabanduka ukigusa ukuta umechafuka lakini kuna watu wanaishi kwenye nyumba kuta zimepigwa mawe ya tanga kama sio tiles Za kisasa,binadamu wote ni sawa au siooo?wacha tujifariji.

Kuna watu wanamiliki minjenge ya mabilioni kwa pesa zake mwenyewe,halafu kuna bwana mwalimu seleman amejenga kakibanda kake Ka 40M kwa mkopo kutoka NMB na ana vimba noma.

Nina kafeni Ka Aliyons kananengua kiuno usiku kucha na bado na sweat ile mbaya halafu kuna wale wanaisha nyumba full kiyoyozi na wanajifunika mablanket ya kutengeneza joto kwa umeme.

Kuna wana zizi la ng’ombe limewekwa Kiyoyozi na ceiling fan,chini pamepigwa tiles maalum na kuna wafanyakazi wakusafisha banda kuondoa kinyesi kila anapojisaidia ili asichafuke,sasa nadhani yatosha kusema katika ya anayeishi kwenye kageto ka 25k na makolokolo yote humo na huyo Ng’ombe ,ng’ombe amejulikana.

Kuna watu wameajiriwa wanasubiri wastaafu wapewe kiinua mgongo ambacho ni 40M-1B Na kuna watu huingiza hiyo pesa kwa siku,wiki ama mwezi.

Maisha hayajawahi kuwa sawa na binadamu hawajawahi kuwa sawa except katika uumbaji tu.

Unakutakana na demu kapiga makeup ya buiu 5 na joto la daa hata unyunyu wa 25k umemshinanda nakujiremba kwote anatema kikwapa ile mbaya na kuna demu akikatiza kwako hana makeup ila anavutia ananukia vibaya (kuna wana wanaweka unyunyu lakini bado wanatema).

Kuna watu wakienda hospital kutibiwa bili ikitoka 100k wanalalama kama king’ora cha ambulance Iliyobeba mgonjwa mahututi,kuna wale matibabu yao bili ni 10M na analipa cash bila zengwe,yaani wanarnda na begi la minoti hospita ili hali wale wa kwa mtogole ipo kwenye akaunti ya tigo pesa.

Binadamu hatujawahi kuwa sawa na haitatokea tukawa sawa huu usemi ni manipulation Za kuwafariji masikini tu.

Mtu anatumia simu ya 8-20M na anazo kama 5 halafu kuna Ashura pale kwa tegeta kwa ndevu anachombo ya mawasiliano infinix hot 10 kaivalisha cover la kamdoli kapusi ana nata noma,(any way mtu chake bwana).

Kuna watu wanakufa na kuna watu wanafariki,kuna watu wanazikwa na kuna watu wanafukiwa (elewa hii dhana).

Kuna watu wanafariki si kwa kukosa matibabu bali ni kwamba tatizo lake madaktari waligonga mwamba ktk kila kona Za dunia halafu kuna watu wanakufa kwa malaria ama septicemia ambayo matibabu yao ni 20k tu.

Yamkini binadamu hatujawahi kuwa sawa na haiji kutokea,kila mmoja apambane amiliki PESA kwa namna yoyote ile kikubwa uwe nazo lakini usimwage damu,pambana.

Kuna watu wakiumwe watoto wao wanawapeleka hospital Za bei mbaya na si kwamba wameshindwa kuzimudu gharama,lahasha they feel proud to serve and care him maana pesa ipo kwa kila mtu wa damu yao na kuna sisi wazazi wetu wanatutegemea kwa kila kitu na hatumudu.

Tujitahidi kutengeneza mfumo wa kuingiza pesa kwa vizazi VYOTE,mfumo Usio kufa ili tuache kujifariji kishamba.Binadamu hatujawahi kuwa sawa na haiji kuwa hivyo.
Binadamu wote ni sawa mbinguni!
Duniani sahau hiyo kauli.
 
Usijali, Binadamu wote ni sawa
Kuna umri ukifikia automatically ndio unajua kuwa binadamu wote ni sawa ukiondoa mihemko ya kibinadamu vinavyo chochewa na ujana unagundua kuwa mwanadamu haitaji vitu maishani mwake bali vichache sana......ndio maana matajiri nyakati za utu uzima na wachache vijana wakiingiwa na ubinadamu wanatoa sana misaada kwa wasiojiweza........
Nafikiri kuna haja yakuwa na matajiri wengi ili wakutoa wawe wengi,hata kama akitoa bado haiji tokea wazawa sawa kamwe,yamkini kiswahili ni kitata kidogo, hebu tutumie concept Za similarity na Congruence ktk hili,
 
Maisha Yana siri na siri hiyo ndio maisha yenyewe.

Kuna watu wamekazana kusema binadamu wote ni sawa,sijui wanajifariji na umasikini wao ama vipi?,labda kama wanamaanisha ni sawa katika Maumbile ya kibinadamu lakini si katika uwezo wa kuyamiliki maisha.

Kuna watu wanakula maisha na kuna wale tunao liwa na maisha.
Mimi na tembelea Raum lakini kuna dogo anamiliki Cardilac ya mwaka 2024,na nadinga nyingine Za bei mbaya.

Kuna watu hulipia watoto wao ada shule ya msingi 21M-60M+ Per annum halafu kuna wale watoto wetu wanasoma shule ya msingi Nachingwea ,kidumu cha maji na mfagio mkononi.

Mimi nimepanga kwa Mzee komba nyumba rangi inabanduka ukigusa ukuta umechafuka lakini kuna watu wanaishi kwenye nyumba kuta zimepigwa mawe ya tanga kama sio tiles Za kisasa,binadamu wote ni sawa au siooo?wacha tujifariji.

Kuna watu wanamiliki minjenge ya mabilioni kwa pesa zake mwenyewe,halafu kuna bwana mwalimu seleman amejenga kakibanda kake Ka 40M kwa mkopo kutoka NMB na ana vimba noma.

Nina kafeni Ka Aliyons kananengua kiuno usiku kucha na bado na sweat ile mbaya halafu kuna wale wanaisha nyumba full kiyoyozi na wanajifunika mablanket ya kutengeneza joto kwa umeme.

Kuna wana zizi la ng’ombe limewekwa Kiyoyozi na ceiling fan,chini pamepigwa tiles maalum na kuna wafanyakazi wakusafisha banda kuondoa kinyesi kila anapojisaidia ili asichafuke,sasa nadhani yatosha kusema katika ya anayeishi kwenye kageto ka 25k na makolokolo yote humo na huyo Ng’ombe ,ng’ombe amejulikana.

Kuna watu wameajiriwa wanasubiri wastaafu wapewe kiinua mgongo ambacho ni 40M-1B Na kuna watu huingiza hiyo pesa kwa siku,wiki ama mwezi.

Maisha hayajawahi kuwa sawa na binadamu hawajawahi kuwa sawa except katika uumbaji tu.

Unakutakana na demu kapiga makeup ya buiu 5 na joto la daa hata unyunyu wa 25k umemshinanda nakujiremba kwote anatema kikwapa ile mbaya na kuna demu akikatiza kwako hana makeup ila anavutia ananukia vibaya (kuna wana wanaweka unyunyu lakini bado wanatema).

Kuna watu wakienda hospital kutibiwa bili ikitoka 100k wanalalama kama king’ora cha ambulance Iliyobeba mgonjwa mahututi,kuna wale matibabu yao bili ni 10M na analipa cash bila zengwe,yaani wanarnda na begi la minoti hospita ili hali wale wa kwa mtogole ipo kwenye akaunti ya tigo pesa.

Binadamu hatujawahi kuwa sawa na haitatokea tukawa sawa huu usemi ni manipulation Za kuwafariji masikini tu.

Mtu anatumia simu ya 8-20M na anazo kama 5 halafu kuna Ashura pale kwa tegeta kwa ndevu anachombo ya mawasiliano infinix hot 10 kaivalisha cover la kamdoli kapusi ana nata noma,(any way mtu chake bwana).

Kuna watu wanakufa na kuna watu wanafariki,kuna watu wanazikwa na kuna watu wanafukiwa (elewa hii dhana).

Kuna watu wanafariki si kwa kukosa matibabu bali ni kwamba tatizo lake madaktari waligonga mwamba ktk kila kona Za dunia halafu kuna watu wanakufa kwa malaria ama septicemia ambayo matibabu yao ni 20k tu.

Yamkini binadamu hatujawahi kuwa sawa na haiji kutokea,kila mmoja apambane amiliki PESA kwa namna yoyote ile kikubwa uwe nazo lakini usimwage damu,pambana.

Kuna watu wakiumwe watoto wao wanawapeleka hospital Za bei mbaya na si kwamba wameshindwa kuzimudu gharama,lahasha they feel proud to serve and care him maana pesa ipo kwa kila mtu wa damu yao na kuna sisi wazazi wetu wanatutegemea kwa kila kitu na hatumudu.

Tujitahidi kutengeneza mfumo wa kuingiza pesa kwa vizazi VYOTE,mfumo Usio kufa ili tuache kujifariji kishamba.Binadamu hatujawahi kuwa sawa na haiji kuwa hivyo.
Binadamu wote ni sawa mbinguni!
Duniani sahau hiyo kauli.
 
Binadamu ni sawa kimaisha Ila wanatofautiana katika kuishi .

Mfano hapo umezungumzia material things sana kitu ambacho hakileti utafauti .

Maisha huwa yapo vile vile tangu binadamu awepo Ila kinachobadilika ni vitu tu mfano simu , TV n.k

Na jiulize swali -zamani watu waliishije na tazama life span yao .

Binadamu wote ni sawa this is fact materials things haiwezi kuwatofautisha binadamu na wala sio kujifariji .

Ukiwa umetoka katika umasikini au ukiwa bado masikini akili inakuaga sio open .

Kikubwa work hard kuwa na basic need zako zote then ishi
Huwezi kuzungumzia maisha na kuishi kwa sasa ukajitenga na material things,hayo yote ndio kipimo kikuu cha utofauti wa watu ndugu,wewe ulipoajiriwa kwa mfano uliwaza kununua tv kubwa,sofa nzuri nk,ukawa na uhakika wakufanya muda wowote na hapo ndio ulianza kuona ahueni ,huwezi kutenganisha kuisha na material needs never.
 
Binadamu wote ni sawa mbinguni!
Duniani sahau hiyo kauli.
Hata huko mbinguni sina uhakika,kama ni sawa na aliyetuumba ni yuleyule,why wengine wawe nacho na wengine wasiwe nacho wakati yeye ndio hutoa na wanasema ni wahaki na ukawa,bado hainiingii akilini kama huko nako kuna usawa.
 
Hayo yote uliyoandika haiondoi ukweli kwmba binadamu wote ni sawa. Mada ilipaswa iwe "Binadamu wote ni sawa, ila wanatofautiana hali za maisha". Binadamu yeyote yule haijalishi ni fukara au tajiri anahitaji chakula,mavazi na malazi ili apate kuishi.
 
Leo unaibuka unasema JK na wewe ,binadamu wote ni sawa.

Hiyo kauli ni wakati wa kufutwa.
Kabisa yaani,labda kwakuwa wote tuna poop,lakini hata ku-poop bado haileti usawa kuna mtu anapoop mpaka analia kisa msosi anaokula,wakati mwingine smoothly,kuna mwana anapoop toilet iko na miti kakunja kiuno wakati mwingine kakaa,ana chati na kuna kiyoyozi.
 
Back
Top Bottom