Nchi yetu ingekuwa na utawala wa sheria huyu mhuni na jambazi angekuwa lupango saa hizi, lakini sheria zinapindishwa huyu mhuni jambazi hataguswa. Nchi inaelekea mahali pabaya sana.
Hii hapa Mkuu.
Nchi yetu ingekuwa na utawala wa sheria huyu mhuni na jambazi angekuwa lupango saa hizi, lakini sheria zinapindishwa huyu mhuni jambazi hataguswa. Nchi inaelekea mahali pabaya sana.
Pesa za viwanda zote kapewa Lipumba ili azitumie kudhoofisha CUFKama kesi iko mahakamani kwa nini hawa wanalinda. Wanalinda nini.This is so stupid. Rais lazima achukue hatua. Kwa nini anaruhusu mambo hayo?
Nchi yetu ingekuwa na utawala wa sheria huyu mhuni na jambazi angekuwa lupango saa hizi, lakini sheria zinapindishwa huyu mhuni jambazi hataguswa. Nchi inaelekea mahali pabaya sana.
Nchi yetu ingekuwa na utawala wa sheria huyu mhuni na jambazi angekuwa lupango saa hizi, lakini sheria zinapindishwa huyu mhuni jambazi hataguswa. Nchi inaelekea mahali pabaya sana.
Nchi yetu ingekuwa na utawala wa sheria huyu mhuni na jambazi angekuwa lupango saa hizi, lakini sheria zinapindishwa huyu mhuni jambazi hataguswa. Nchi inaelekea mahali pabaya sana.